•20241127 fm1
•FM2-20241126
•FM3B-20241126
•FM3A-20241126
Watu 51 wameuawa na wengine 30 kujeruhiwa jana katika ghasia zilizotokea kwenye gereza moja mjini Tulua, kusini magharibi mwa Colombia.
Habari zinasema, moto mkubwa uliosababishwa na ghasia hizo umezimwa, na hali ya gereza hilo imedhibitiwa.
Xi atoa wito wa kujenga dunia yenye maendeleo ya pamoja na kueleza hatua za China kwa ajili ya maendeleo ya dunia
• 20241127 fm1
• FM2-20241126
• FM3B-20241126
• FM3A-20241126