Idara ya Takwimu ya Kitaifa ya China siku za karibuni ilitoa ripoti ikisema, kuanzia mwaka 2013 hadi 2021, pato la taifa la China (GDP) limeongezeka kwa wastani wa asilimia 6.6 kila mwaka, na kuchangia zaidi ya asilimia 30 ya ongezeko la uchumi wa dunia.