Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Bw. Wang Wenbin jana amesema, China imeona takwimu kuhusu operesheni za kijeshi zilizofanywa na Marekani katika nchi za nje, ambazo zimeonyesha umwamba wa Marekani.
Amesema Marekani hutangaza “kuheshimu na kulinda utaratibu wa kimataifa kwa msingi wa kanuni”, lakini takwimu hizo zimeonesha ukweli wa nchi hiyo kupenda vita na umwamba wa kanuni za Marekani.