Nina walimu wengi ambao wamenifundisha, na bado ninakumbuka sura zao. Walinifundisha ujuzi na kanuni za kuwa mwanamume, ambazo zimenifaidisha sana.
2022-09-26 16:09:33| CRI

Hii ni nukuu ya rais Xi Jinping akionesha shukrani zake kwa walimu wote pamoja na wale waliomfundisha shuleni.