Natamani kuwa wa kwanza kuhangaikia masaibu ya taifa na wa mwisho kufurahia ustawi wake
2022-10-03 10:23:30| CRI

Hii ni sentensi ya msomi Fan aliyonukuu Rais Xi Jinping wa China akilezea wasomi wa zamani kwamba walikuwa na sifa ya uwajibikaji.