Sherehe ya kufungwa kwa Michezo ya 24 ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing yafanyika mjini Beijing, China
2022-02-20 21:31:23| cri

Sherehe ya kufungwa kwa Michezo ya 24 ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing yafanyika mjini Beijing, China_fororder_微信图片_20220220213146


Sherehe ya kufungwa kwa Michezo ya 24 ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing imefanyika leo usiku kwenye Uwanja wa Michezo wa Taifa mjini Beijing, China.
Rais Xi Jinping wa China na mwenyekiti wa Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki Thomas Bach wamehudhuria kwenye sherehe hiyo.
(Picha: Xinhua)