Mtu anasoma kila kitu ili kupata ujuzi, na kuthibitisha kwa vitendo kuwa amesoma
2022-03-01 10:44:20| CRI

Mtu anasoma kila kitu ili kupata ujuzi, na kuthibitisha kwa vitendo kuwa amesoma_fororder_Hadithi za Jadi

Huu ni msemo ambao unamaanisha kwamba elimu inayopatikana lazima itumiwe kwa vitendo na sio kubaki kwenye makaratasi tu. Msemo huu unafanana wa Kiswahili kwamba “elimu ni ufunguo wa maisha”.