Rais Xi Jinping wa China atoa salamu za maadhimisho ya siku ya wanawake duniani
2022-03-07 09:22:24| Cri

Rais Xi Jinping wa China jana alitoa salamu za kila la heri kwa wanawake wote wa China kuadhimisha siku ya wanawake ya kimataifa tarehe 8 mwezi Machi.

Rais Xi alitoa salamu hizo aliposhiriki kwenye mjadala wa kikundi kimoja kwenye mkutano wa tano wa baraza la 13 la mashauriano ya kisiasa la China.