Rais Samia Suluhu wa Tanzania, ametoa salamu za mwaka wa jadi wa China kwa wachina wote wakati wanakaribisha mwaka mpya wa jadi wa Sungura.
Rais Samia amesema Tanzania imedhamiria kuendelea kuhimiza urafiki halisi na wenye nguvu, na ushirikiano wa kuhimiza maendeleo ya China na Tanzania.