Mimi ni mjumbe wa wananchi
2024-03-05 21:59:36| cri

Mkutano wa mwaka wa Bunge la Umma la China umefunguliwa tarehe 5 Machi mjini Beijing, ambao ni tukio muhimu katika maisha ya kisiasa kwa watu wa China. Wajumbe wapatao elfu tatu kutoka sehemu mbalimbali nchini China wanajumuika mjini Beijing na kujadili sera za kitaifa kwa pamoja. Video hii ya “Mimi ni mjumbe wa wananchi” itakueleza jinsi wajumbe watatu kati yao wanavyofanya kazi, kutekeleza wajibu, na kuyafanya matakwa ya wananchi yawe nia ya taifa, ili kuwahudumia wananchi.