Hifadhi ya wanyamapori ya Kenya yaanzisha mradi wa kuwahamisha temboRais Xi Jinping wa China afanya ukaguzi mjini Zhangzhou mkoani Fujian
2024-10-16 11:01:49| cri

Rais Xi Jinping wa China Oktoba 15 alifanya ziara ya ukaguzi mjini Zhangzhou mkoani Fujian, ambapo alitembelea kjiji cha Aojiao wilayani Chenzhen, jumba la kumbukumbu la Gu Wenchang na bustani ya utamaduni ya Guandi na kufahamu hali ya kukuza ustawi wa vijiji, kuenzi moyo wa kimapinduzi na kuimarisha uhifadhi wa urithi wa kiutamaduni.