• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Oktoba 8-Oktoba 14)

    (GMT+08:00) 2016-10-14 20:39:49

    Ethiopia yatangaza hali ya hatari

    Serikali ya Ethiopia imetangaza hali ya hatari kwa kipindi cha miezi sita kufuatia ghasia na mauaji ambayo yameendelea kwa miezi kadhaa.

    Jamii ya watu wa Oromo na Amhara ambao ni asilimia 60% ya watu wote wamekuwa wakiandamana wakidai kwamba jamii ya Tigre ndio inayoshika karibu nyadhifa zote serikalini.

    Akitangaza hali hiyo ya hatari waziri mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn alisema "serikali inaweka mbele usalama wa wananchi"


    1 2 3 4 5 6 7 8
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako