Ndege iliokuwa imebeba abiria 81 wakiwemo wachezaji wa Brazil yaanguka
Ndege ya kukodi iliokuwa imebeba abiria 81 wakiwemo wachezaji wa klabu ya soka ya Brazil imeanguka karibu na eneo la MedellĂn, nchini Colombia.
Ni watu sita tuwalionusurika ajali hiyo ya Jumanne.
Mamlaka ya usafiri wa ndege nchini Colombia imesema walionusurika nipamoja na wachezaji watatu, wahudumu wawili na mwandishi mmoja wahabari.
Kwa muujibu wa taarifa kwenye kifaa cha kurekodia mawasiliano ndege hiyo iliishiwa mafuta kutoka katika
Katika mnara wa mawasiliano ya ndege , rubani alisikika akirudia mara kadhaa akiomba ruhusa ya kutua kwa dharura kutokana na hitilafu ya umeme iliyokuwama.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |