• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Decemba 21-Decemba 27)

    (GMT+08:00) 2019-12-27 20:13:06

    Mapambano kati ya wafanya biashara na waasi yasababisha vifo vya watu 40

    Watu 40 wameuawa kwenye mapambano kati ya wamiliki wa biashara na makundi ya waasi yaliyotokea huko Bangui, mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati tangu usiku wa Krismasi.

    Mapambano hayo yalitokea kwenye kituo kimoja cha biashara huko Bangui ambako pia ngome ya makundi ya waasi. Wakazi wa huko wamesema waasi walidai kodi kutoka kwa wamiliki wa biashara wanaouza vitu vya Krismasi, na kupelekea ugomvi uliosababisha mapigano ya kisilaha kati ya pande hizo mbili.


    1  2  3  4  5  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako