• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Maisha ya wanafunzi wa Afrika

    (GMT+08:00) 2009-12-30 18:59:29
    Mechi ya kwanza ya soko niliyotazama nchini China

    Muda mfupi baada ya kuja hapa China, nilikwenda jumba la michezo lililoko karibu na chuo chetu kutazama mashindano ya soka pamoja na rafiki yangu mmoja kutoka Senegal. Sikujua kuwa timu hizo mbili zilitoka wapi, lakini zilicheza vizuri, na mashabiki wao waliishangilia timu zao kwa njia mbalimbali. Pia tulikutana na marafiki kadhaa wa China, tulitazama mashindano na kuzungumza pamoja, na tulikuwa na wakati mzuri kwa pamoja. Kusema kweli, napenda zaidi kucheza mchezo wa Rugby, hii ndiyo sababu kuwa nina afya nzuri. Lakini niliumia mguu kabla ya kuja hapa Hangzhou, hivyo siwezi kucheza mpira huo sasa. Ninaamini kuwa iko siku nitarudi kiwanjani kucheza mpira huo baada ya kupona. Licha ya mipira, pia ninapenda kuimba nyimbo na kupiga ala za muziki. Lakini jambo ninalopenda zaidi ni kusoma kozi yangu ya usalama usio wa jadi, kwani ninataka kufanya dunia yetu iwe nzuri na yenye usalama zaidi.


    1 2 3 4
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako