• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii ( Septemba 10-Septemba 16)

    (GMT+08:00) 2016-09-16 16:34:49

    China yatoa ripoti kuhusu maendeleo ya ulinzi wa haki za binadamu katika mfumo wa sheria

    Serikali ya China imetoa ripoti kuhusu maendeleo ya ulinzi wa haki za binadamu iliyoyapata nchi hiyo katika upande wa mfumo wa sheria.

    Ripoti hiyo inasema katika miaka iliyopita hasa minne iliyopita, China imejitahidi kuleta usasa katika mfumo wa utawala kwa kutunga sheria kwa njia za kisayansi, kutekeleza sheria kwa makini, na kuendesha mashitaka kwa usawa, na kulinda haki na uhuru wa wananchi kwa mujibu wa sheria.

    Ripoti hiyo inasema China itaendelea kuboresha ulinzi wa haki za binadamu katika upande wa mfumo wa sheira kwa kujifunza kutoka nchi nyingine na kuzingatia hali halisi ya nchi.


    1 2 3 4 5 6 7 8 9
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako