• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Oktoba 15-Oktoba 21)

    (GMT+08:00) 2016-10-21 19:05:46

    Waasi washutumiwa kwa kuvunja makubaliano ya amani Yemen

    Muungano wa jeshi linaloongozwa na Saudi Arabia amabalo linaunga mkono upande wa serikali ya Yemen umewashutumu waasi kwa kuvunja makubaliano mara kwa mara ya kusitisha mapigano.

    Muungano huo unasema kuwa waasi wa Houthi wameshavunja makubaliano zaidi ya mara arobaini pembezoni mwa mpaka wa Saudi Arabia.

    Wakati huohuo waasi wa Houthi wamesema shambulizi la anga katika eneo lao limewauwa raia watatu.

    Umoja wa Mataifa ulitumai kuwa usitishwaji wa mapigano ungeongezwa ili kupisha mazungumzo ya Amani.


    1 2 3 4 5 6 7 8 9
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako