• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (16 Juni-23 Juni)

    (GMT+08:00) 2017-06-23 19:43:37

    2-Baraza la binadamu lapitisha azimio la China

    Baraza la haki za binadamu la Umoja wa mataifa limepitisha azimio lililowasilishwa na China kuhusu "mchango wa maendeleo kwenye kunufaika na haki za binadamu", ikiwa ni mara ya kwanza kwa baraza hilo kupitisha azimio kuhusu masuala ya maendeleo. Azimio hilo linatambua azma ya jumuiya ya kimataifa kujenga jumuiya yenye hatma ya pamoja kwenye mambo ya haki za binadamu, na kuthibitisha kuwa maendeleo yanachangia kwa kiasi kikubwa kunufaika na haki zote za binadamu.


    1  2  3  4  5  6  7  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako