• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (March 31-Aprili 6)

    (GMT+08:00) 2018-04-06 20:02:35

    Raia wa wafukuzwa Australia

    Zaidi ya raia wa Ghana 50 waliojaribu kuingia nchini Australia wamekamatwa kwa kujifanya kuwa waandishi wa habari.

    Raia hao walishikwa wakati waliposhindwa kujibu maswali kuhusu michezo.

    Ingawapo walikuwa na nyalaka halali za kusafiria, walikamatwa na kushikiliwa baada ya kushindwa kujibu maswali rahisi kuhusu michezo.

    Naibu Waziri wa Michezo wa Ghana,Pious Enam Hadidze, amesema kuwa wameanza uchunguzi kuhusu tukio hilo.

    Hata hivyo alisema wizara yake haikuwa na uhusiano yoyote na raia hao na haikuwahi kuwasaidia kupata visa hapo awali.


    1  2  3  4  5  6  7  8  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako