• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (February 16-February 22)

    (GMT+08:00) 2019-02-22 18:59:17

    Sanders kuwania urais Marekani

    Seneta Bernie Sanders, 77, anajiandaa kuwania kwenye kiti cha urais katika uchaguzi ujao wa mwaka 2020 nchini Marekani. Jumanne wiki hii Bw Senders amesema kuwa atawania katika uchaguzi wa ndani wa chama cha Democratic ili kutafuta tiketi ya kuwania katika uchaguzi wa urais wa mwaka 2020.

    Bernie Sanders alishindwa wakati wa kinyang'anyiro cha urais katika uchagui wa ndani wa chama cha Democratic, baada ay Hillary Clinton kuibuka mshindi na kupeperusha bendera ya chama hicho.

    Katika uchaguzi wa ndani ya chama alishinda katika Majimbo 23.

    Ametangaza kuwa atawania kiti cha urais kwenye barua pepe kwa wafuasi wake mapema Jumanne wiki hii.


    1  2  3  4  5  6  7  8  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako