• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Agosti 22-Agosti 28)

    (GMT+08:00) 2020-08-28 15:34:56

    Bei ya mkate kuongezeka kutokana na mavuno mabaya ya ngano huku Uingereza

    Bei ya unga na mkate imepanda baada ya mavuno ya ngano mbaya UK katika miaka 40, tasnia inaonya.

    Wakulima wanasema kwamba hali ya hewa kali zaidi ya mwaka jana ina maana mavuno ya ngano yamepungua hadi 40%.

    Tayari wasagaji wengi wamepandisha bei ya unga kwa asilimia 10 na kuonya kuwa kuongezeka zaidi kunawezekana kwa sababu gharama ya jumla ya ngano imeongezeka kwa asilimia 12.5 tangu mwisho wa Juni.


    1  2  3  4  5  6  7  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako