• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Agosti 22-Agosti 28)

    (GMT+08:00) 2020-08-28 15:34:56

    Umoja wa Mataifa watahadharisha juu ya njaa na utapiamlo Afrika Mashariki

    Shirika la mpango wa chakula duniani (WFP) limesema kuwa njaa kubwa na utapiamlo vinawakabili mamilioni ya wakimbizi walioko mashariki mwa Afrika mashariki wanaoishi kwa kutegemeamsaada kutoka kwa shirika hilo la chakula.

    Limesema kuwa athari za kijamii na kiuchumi za janga Covid-19 zimepunguza msaada muhimu kutoka kwa wahisani.

    WFP tayari liimepunguza usambazaji wa chakula au utoaji wa pesa kwa kiwango cha hadi 30% kwa zaidi ya wakimbizi milioni 2.7 waliopo katika mataifa ya Ethiopia, Uganda, Kenya, Sudan Kusini, na Djibouti, limesema.


    1  2  3  4  5  6  7  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako