• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Septemba 12-Septemba 18)

    (GMT+08:00) 2020-09-18 16:48:13
    Kampuni ya Huawei yaanzisha programu ya vipaji vya Tehama wakati uhusiano kati ya China na Kenya ukiendelea kuimarika

    Kampuni ya Huawei nchini Kenya imezindua programu ya mwaka huu ya watu wenye vipaji vya Tehama, yenye lengo la kuendeleza vipaji vya watu wenye ujuzi wa Tehama wakati uhusiano kati ya China na Kenya ukiendelea kuimarika.

    Mkuu wa kampuni ya Huawei nchini Kenya Bw. Will Meng, amesema kwa mara ya kwanza programu hiyo itaendeshwa kwa njia ya kidigitali na kutoa mafunzo ya siku tano kwa washiriki 60 watakaojifunza kuhusu teknolojia ya 5G, Big Data, Akili bandia na Cloud Computing, ili kuwawezesha kuelewa mwelekeo wa sasa wa teknolojia hizo.

    Program hiyo ni sehemu ya mpango wa wajibu kwa jamii wa kampuni ya Huawei, wenye lengo la kuendeleza vipaji vya Tehama na kuhimiza ujenzi wa kikanda wa jumuiya ya kidigitali.


    1  2  3  4  5  6  7  8  9  10  11  12  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako