• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • Wawakilishi wa Marekani na kundi la Taliban wafanya mazungumzo 2019-01-22

    Wawakilisji kutoka serikali ya Marekani na kundi la Taliban la Afghanistan wamefanya mazungumzo mjini Doha, Qatar.

    • Ubalozi wa Falme za kiarabu nchini Syria wafunguliwa tena baada ya miaka 7
     2018-12-27

    Ubalozi wa nchi ya Falme za Kiarabu (UAE) katika mji mkuu wa Syria, Damascus umefunguliwa tena leo kwa mara ya kwanza baada ya miaka saba.

    • Jeshi la Syria lafanikiwa kuzuia makombora ya Israel kwenye anga ya Damascus 2018-12-26

    Vikosi vya ulinzi wa anga vya Syria jana jioni vilifanikiwa kuzuia makombora ya Israel yaliyokuwa yakilenga maeneo ya magharibi mwa mji wa Damascus.

    • Watu 429 wapoteza maisha kutokana na mlipuko wa Volkano na Tsunami na maelfu kukosa makazi magharibi mwa Indonesia
     2018-12-25

    Idadi ya vifo vilivyotokana na mlipuko wa volcano na tsunami katika fukwe wa bahari ya Sunda magharibi mwa Indonesia yaongezeka na kufikia 429 na wengine 1,459 wakijeruhiwa.

    • Wanajeshi zaidi ya 150 wa Russia waondoka Syria 2018-12-24

    Ofisi ya habari ya jeshi la Russia imesema, wanajeshi zaidi ya 150 wamerudi kutoka nchini Syria hadi makao makuu ya jeshi hilo ya Novosibirsk, Russia baada ya kumaliza kazi zao nchini humo.

    • Mahakama ya Ulaya yasema Uingereza iko huru kufuta kipengele cha 50 na kuzuia Brexit 2018-12-10

    Mahakama ya Ulaya imesema, Uingereza iko huru kufuta kwa pande zote taarifa yake ya kudhamiria kujitoa kwenye Umoja wa Ulaya (EU).

    • China na Ureno zakubaliana kusukuma mbele ujenzi wa "Ukanda Mmoja, Njia Moja" 2018-12-06

    Rais Xi Jinping wa China amekutana na waziri mkuu wa Ureno Bw. Antonio Costa na kufikia makubaliano naye kuhusu kusukuma mbele ujenzi wa "Ukanda Mmoja, Njia Moja" ili kuongeza mawasiliano kati ya Asia na Ulaya na kuhimiza biashara ya kimataifa.

    • Rais wa China akutana na mwenzake wa Panama 2018-12-04

    Rais Xi Jinping wa China amefanya mazungumzo na mwenzake wa Panama Bw. Juan Carlos Valera, ambapo wamesifu mwelekeo mzuri wa maendeleo ya uhusiano wa pande mbili kati ya nchi zao na kufikia makubaliano katika kusukuma mbele uhusiano huo.

    • Marais wa China na Marekani wapiga breki mikwaruzano ya biashara 2018-12-02

    Hatimaye mkwaruzano wa kibiashara kati ya China na Marekani uliodumu kwa zaidi ya miezi minane, sasa umejikuta kuwa na badiliko. Desemba mosi, Marais Xi Jinping wa China na Donald Trump wa Marekani walfanya mazungumzo ya pembeneni katika mkutano wa kilele wa kundi la G20 huko Argentina.

    • Balozi wa China nchini Marekani atarajia mkutano wa wakuu wa China na Marekani kuongoza mwelekeo wa uhusiano kati ya nchi hizo mbili 2018-11-28

    Balozi wa China nchini Marekani Bw. Cui Tiankai amesema anatarajia mkutano kati ya wakuu wa China na Marekani utaongoza mwelekeo wa maendeleo ya uhusiano kati ya nchi hizo mbili, na kutoa mwongozo wa kimkakati kwa pande mbili kutatua masuala mbalimbali ikiwemo suala la uchumi na biashara.

    • Rais Xi Jinping kufanya ziara katika nchi nne na kuhudhuria mkutano wa kundi la nchi 20 2018-11-23

    Wizara ya mambo ya nje ya China imetangaza kuwa, kutokana na mialiko, rais Xi Jinping wa China atafanya ziara ya kiserikali nchini Hispania, Argentina, Panama na Ureno kuanzia tarehe 27 mwezi huu hadi tarehe 5 mwezi ujao. Katika kipindi cha ziara hiyo, rais Xi Jinping atahudhuria mkutano wa 13 wa kilele wa kundi la nchi 20 utakaofanyika kuanzia tarehe 30 mwezi huu hadi tarehe 1 mwezi ujao mjini Buenos Aires.

    • Ziara ya rais Xi Jinping ya kuhudhuria mkutano usio rasmi wa APEC imesukuma mbele mwelekeo wa ufunguaji mlango na ushirikiano 2018-11-21

    Kuanzia tarehe 15 hadi 21 Novemba, rais Xi Jinping wa China alihudhuria mkutano usio rasmi wa 26 wa viongozi wa Jumuiya ya ushirikiano wa kiuchumi ya Asia na Pasifiki APEC, kufanya ziara ya kiserikali nchini Papua New Guinea, Brunei na Philippines, na kukutana na viongozi wa nchi nane za visiwa zenye uhusiano wa kidiplomasia na China.

    • China na Brunei kuimarisha uhusiano wa wenzi wa ushirikiano wa kimkakati 2018-11-19

    Mwanzoni mwa mwaka 2018, benki za Citi na HSBC zilisitisha shughuli zao za kifedha nchini Brunei. Habari zilizotolewa na gezeti la Asia Times zilisema, kutokana na kupungua kwa bei ya nishati duniani katika miaka ya karibuni, biashara za mafuta na gesi za benki hizo nchini Brunei pia ziliathirika.

    • Waziri mkuu wa China atoa makala kwenye vyombo vya habari vya Singapore 2018-11-12
    Waziri mkuu wa China Bw. Li Keqiang ametoa makala ya "kujenga mustakabali mzuri zaidi kwa kufungua mlango, ushirikiano na uvumbuzi" kwenye vyombo vya habari vya Singapore.
    • Vyama vya Democrat na Republican vyadhibiti mabaraza tofauti ya bunge la Marekani 2018-11-08

    Chama cha Democrat kimepata udhibiti wa baraza la chini la Bunge la Marekani, huku chama cha Republican kimeendelea kudhibiti baraza la Senate, baada ya matokeo ya upigaji kura uliofanyika jumanne kutangazwa.

    • IAEA yatarajia kuendelea kupanua ushirikiano na China 2018-11-02

    Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki IAEA Bw. Yukiya Amano amesema, shirika hilo linatarajia kuendelea kupanua ushirikiano na China katika sekta mbalimbali.

    • China kuwa nchi mwenyekiti wa zamu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa mwezi wa Novemba 2018-11-01

    China itakuwa nchi mwenyekiti wa zamu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa mwezi huu.

    • Umoja wa Mataifa wafurahia wito wa kusimamisha uhasama nchini Yemen 2018-11-01

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Yemen Bw Martin Griffiths amefurahia wito wa kurejesha mchakato wa kisiasa na kusimamisha uhasama nchini humo.

    • Ushirikiano wa kilimo kati ya China na Afrika wajadiliwa kwenye Umoja wa Mataifa 2018-10-30

    Miradi ya kilimo inayofanywa na China imesaidia kuongezeka kwa uzalishaji wa chakula na kipato kwa wakulima wadogo katika nchi za Guinea-Bissau na Msumbiji.

    • Ndege ya Indonesia iliyobeba abiria 189 yaanguka baharini 2018-10-29

    Idara ya uokoaji ya taifa ya Indonesia imesema, ndege ya shirika la ndege la Simba iliyokuwa na abiria 189 imeanguka baharini baada ya kuondoka Jakarta mapema leo.

    prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 next
    SearchYYMMDD  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako