• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Oktoba 22-Oktoba 28)

    (GMT+08:00) 2016-10-28 20:45:30

    Matetemeko mawili ya ardhi yakumba Italia

    Matetemeko makubwa mawili yamepiga katikati ya Italia kwa muda wa saa mbili, karibu na eneo ambapo tetemeko jingine lililoua karibu watu mia tatu mwezi Agosti.

    Matetemeko yote mawili yametokea mashariki mwa jiji la Perugia, likiwa na ukubwa wa kipimo cha Ritcher 5.4 na 6.

    Nguzo za umeme zimearifiwa kudondoka na baadhi ya majengo yamebomolewa. Lakini Meya wa karibu na eneo hilo amesema kuwa tayari ameshatoa taarifa kuhusu uharibifu uliotokea kijijini hapo, na kuna taarifa za majeruhi na kusema kuwa picha yote haiwezi kuchukuliwa mpaka mchana.

    Watu wengi wameenda nje ya eneo hatari kabla ya tetemeko la pili na nguvu yake kutokea.


    1 2 3 4 5 6 7 8 9
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako