• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (15 Julai-21 Julai)

    (GMT+08:00) 2017-07-21 19:31:33

    Riek Machar, sasa ataka mazungumzo mapya

    Kiongozi wa Sudan Kusini aliye uhamishoni Riek Machar, ametoa wito wa kufanyika mazungumzo mapya ya amani ili kuweza kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.

    Festus Mogae, Rais wa zamani wa Botswana, ambaye sasa anafanya kazi ya upatanishi, Sudan kusini amemtaka Riek Machar kutangaza kusimamisha mapigano, wakati alipomtembelea kwenye makazi yake ya uhamishoni Afrika kusini.

    Amesema Bwana Machar ametaka kufanyika kwa mazungumzo mapya nje ya Sudan Kusini.

    Sudan kusini ilijikuta katika vita vya wenyewe kwa wenyewe mwaka 2013, baada ya Rais Salva Kiir kumuondosha msaidizi wake Riek Machar


    1  2  3  4  5  6  7  8  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako