• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Mei 4-Mei 10)

    (GMT+08:00) 2019-05-10 20:15:06

    Wakenya zaidi ya 11 wauawa kwenye mapigano karibu na mpaka kati ya Kenya na Ethiopia

    Zaidi ya raia 11 wa Kenya wameuawa na wengine wawili kujeruhiwa katika mapigano yaliyotokea jumatatu kwenye kaunti ya Marsabit, iliyo mpakani kati ya Kenya na Ethiopia.

    Ofisa wa serikali ya kaunti hiyo Bw. Mamo Honicha amesema, washambuliaji kutoka Ethiopia waliwapiga risasi wakazi wa huko waliokuwa kwenye mkutano wa kutatua masuala kati ya jamii za jirani.

    Kamishna wa wilaya ya Marsabit Bw. Gilbert Kitiyo amesema serikali itachukua hatua ili kutatua mgogoro huo.


    1  2  3  4  5  6  7  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako