• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • Mkurugenzi masuala ya Afrika azungumzia maandalizi ya FOCAC 2018-05-02

    Maandalizi ya mkutano wa Jukwaa la Ushirikiano wa China na Afrika (FOCAC) utakaofanyika mwezi Septemba, jijini Beijing, unaendelea vizuri. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje Bw. Dai Bing wakati akifanya mazungumzo na waandishi wa habari kutoka Afrika walioko nchina China katika programu maalum ya mafunzo.

    • Dunia na Ukimya juu ya mgogoro wa kibiashara 2018-04-18

    Mgogoro wa kibiashara kati ya China na Marekani umefika pabaya. Si pazuri kwa China. Si pazuri kwa Marekani. Si pazuri kwa dunia.

    • Media za China kujikita kwenye kiini cha vita ya kibiashara 2018-04-18

    China itaendelea kuieleza dunia sababu, kiini na msingi wa mgogoro wa kibiashara kati yake na Marekani kupitia vyombo vyake vya habari.

    • Sanya kuongeza watalii kwa asilimia 10 2018-04-13

    Uongozi wa Manispaa ya Sanya, mji maarufu kwa utalii uliopo kusini zaidi mwa China, imetangaza mkakati wake wa kuongeza idadi ya watalii kwa asilimia 10 kila mwaka.

    • China, Marekani zikipata hasara, dunia itapata hasara zaidi 2018-04-03

    Ni dhahiri shairi kuwa China na Marekani zipo katika mgogoro wa kibiashara. Hali hii inahitaji majadiliano mapana na ya kina baina ya pande zote mbili.

    Bila udhibiti na utatuzi wa mapema wa hali hii, ni wazi kuwa madhara yake hayatakuwa kwa China au Marekani tu, dunia nzima itapata hasara kwa namna yoyote ile.

    • Balozi Kairuki: Kuchaguliwa kwa Rais Xi neema Afrika 2018-03-18

    Balozi wa Tanzania nchini China Bw. Mbelwa Kairuki amemuelezea Rais Xi Jinping kama kiongozi imara ambaye anaamini ataendelea kusimamia mipango mbalimbali ya maendeleo aliyoanzisha kati ya China na nchi za Afrika.

    • 

    Ni Xi Jinping tena, Bunge laamua

     Abebeshwa matumaini ya China mpya

     Je, Afrika wana chao? Kipi?

     2018-03-17

    Kuchaguliwa tena kwa Rais Xi Jinping kuongoza China kunafungua ukurasa mwingine mpya wa ushirikiano kati ya nchi hiyo na mataifa mengine hususan nchi za bara la Afrika.

    • Ije jua ama mvua, China-Afrika ipo sana 2018-03-09

    China imetangaza rasmi. Imesisitiza. Imeeleza tena. Mahusiano yake na nchi za Afrika, bado yapo sana. Ije mvua, ije jua. Yaje mabadiliko ya aina gani, hakuna kitakachobadili. Ahadi zake kwa Afrika ziko palepale.

    • China inavyotekeleza Diplomasia ya Uchumi kwa vitendo 2018-03-07

    Bunge la Umma la China linaendelea na vikao vyake. Pamoja na mambo mengine yanayojadiliwa, suala la mahusiano yake na mataifa mengine duniani linapewa msisitizo na uzito unaosatahili. Hivi karibuni, Baraza la Mashauriano la Kisiasa la China, ikitoa ripoti ya kazi kwa kipindi kilichopita, limeweka bayana kuwa limefanyia tathmini mfumo wa mahusiano yake na mataifa mengine na kuangalia namna ya kuboresha mahusiano hayo ili yawe bora zaidi.

    • China, maneno kidogo, vitendo kwa sana 2018-03-06

    WAZIRI Mkuu wa China Bw. Li Kequiang mapema leo ametoa ripoti juu ya utendaji wa serikali katika miaka mitano iliyopita. Ni miaka ya mafanikio makubwa, katika nyanja zote za kijamii, kiuchumi na kisiasa.

    • Majaliwa Christopher Oswero, mhariri wa Habari Msaidizi, Daily News, Tanzania 2018-03-05
    1  2  3  4  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako