• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (11 Juni-17 Juni)

    (GMT+08:00) 2016-06-17 18:47:34

    Kisanduku cha ndege ya EgypAir chapatikana

    Wiki hii Kikosi cha Misri kilichokuwa kikitafuta mabaki ya ile ndege ya Egypt-Air iliyoanguka katika bahari ya Mediterranea, kinasema kimepata kisanduku cheusi cha kuhifadhi mawasiliano ya ndege.

    Watafutaji hao wanasema kuwa, kifaa hicho kilikuwa kimeharibika, pale walipokipata chini ya sakafu ya bahari.

    Mawasiliano ya ishara ya kifaa hicho yalinaswa na meli moja ya kijeshi ya Ufaransa, majuma mawili yaliyopita.

    Ndege hiyo ya EgyptAir chapa 804 muundo wa Airbus 320 na iliyokuwa ikitokea Paris, Ufaransa kuelekea Cairo, Misri, ilianguka na kuwauwa abiria wote 56 na wahudumu 10 waliokuwa ndani yake.

    1 2 3 4 5 6 7 8 9 10
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako