• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Mei 25-Mei 31)

    (GMT+08:00) 2019-05-31 18:04:40
     

    Ethiopia yarudisha wakimbizi milioni 1.2 wa ndani

    Waziri wa amani wa Ethiopia Bibi Muferiat Kemal amesema, wakimbizi milioni 1.2 wa ndani wamesaidiwa na kurudi kwenye makazi yao katika miezi michache iliyopita.

    Bibi Muferiat pia amesema, Ethiopia inapanga kurudisha wakimbizi wengine milioni 1.1 wa ndani kabla ya mwisho wa mwezi wa Juni, huku serikali ya nchi hiyo ikijitahidi kuhakikisha usalama wa wakimbizi hao watakaporejea kwenye makazi yao.

    Habari zinasema, mapema mwezi huu, serikali ya Ethiopia imetangaza kufunga kambi 45 za kupokea wakimbizi hao, ikiwa ni sehemu za juhudi za nchi hiyo kuwarejesha makwao.


    1  2  3  4  5  6  7  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako