• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • Pendekezo la Ukanda Mmoja na Njia Moja lakutanisha wawewekezaji 100 kutoka China kuhamasisha uwekezaji Tanzania 2017-05-19

    TANZANIA na China imekuwa na mahusiano ya muda mrefu katika sekta mbalimbali ukiwemo uhusiano wa Kidplomasia, kiuchumi, kisiasa pamoja na kijamii.

    • Afrika yajiunga na China wakati dunia umeweka uhai ndoto ya Mkanda Mmoja Njia Moja 2017-05-19

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na Waziri Mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn ni miongoni mwa viongozi 29 wa nchi zilizokongamana Beijing kupumulia uhai pendekezo la Mkanda Mmoja Njia Moja.

    • Pendekezo la "ukanda mmoja, njia moja" lafikisha hariri na kauri mpya barani Afrika. 2017-05-12
    Kwa watu wenye uelewa wa ndani kuhusu historia ya dunia, bila shaka watakuwa wanafahamu kwamba katika kipindi fulani kwenye historia ya dunia (207 BC–220 AD), China ilikuwa ni moja ya nchi muhimu duniani, na ilikuwa na mchango wa kipekee kwa dunia, uliohimiza maingiliano ya kibiashara kati yake na nchi nyingine. Wakati huo kulikuwa na bidhaa mbili muhimu kutoka China kwenda katika mabara mengine, nazo ni vyombo vya kauri na vitambaa vya hariri.
    • Pendekezo la ukanda mmoja na njia moja litasaidia kukuza Kenya kiviwanda asema Rais Uhuru Kenyatta 2017-05-10

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema pendekezo la "Ukanda mmoja, Njia moja" litasaidia nchi yake kuwa na uwezo mkubwa wa kiviwanda na kuongeza nafasi za ajira.

    • Mpango wa China wa Ukanda Mmoja na Njia Moja utanufaisha pande zote, asema mtaalama wa sera na mikakati 2017-04-28

    Mpango wa China wa Ukanda Mmoja na Njia Moja ulioanzihswa na Rais wa China Xi Jinping, umeleta mwamko mpya wa kibiashara barani Afrika.

    • Mji wa Dongguan wakaribisha nchi inakopitia njia ya hariri ya baharini kufanya biashara 2015-04-29
    Mamlaka ya manispaa ya mji wa Dongguan nchini China imekaribisha nchi inakopitia njia ya hariri ya baharini kujinufaisha na nafasi za kibiashara mjiji humo. Mji huu wa Dongguan uko kusini mwa China Katika mkoa wa Guangdong na una wakaazi millioni kumi hivi. Pato lake la jumla ni zaidi ya Dola bilioni 95.
    • Njia ya hariri ya baharini yainua ushirikiano kati ya China na nchi zilizoko kando ya njia hiyo 2014-11-11

    Maonesho ya kimataifa ya njia ya hariri ya baharini ya karne 21 yaliyomalizika tarehe 2 huko Dongguan mkoani Guangzhou hapa China, yalitoa ishara wazi kuwa China itatafuta fursa mpya ya ushirikiano na nchi zilizo kando ya njia ya hariri ya baharini ya karne 21 kupitia ujenzi wa njia hiyo.

    • Mikoa iliyoko kando ya njia ya hariri ya baharini yatarajia kupata mafanikio mapya 2014-07-09
    Mji wa Quanzhou mkoani Fujian China ukiwa ni mwanzo wa njia ya hariri ya baharini, si kama tu una barabara za zamani zilizojengwa kwa mawe na mnara mrefu wa Liusheng, bali pia una bandari ya kisasa inayostawi sana.
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako