Kiongozi mpya wa chama tawala nchini Burundi achaguliwa
Evariste Ndayishimiye amechaguliwa wiki hii kuwa katibu mkuu mpya wa chama tawala cha Burundi CNDD-FDD wikiendi iliyopita.
Ndayishimiye alikuwa mshauri binafsi wa masuala ya kijamii katika ikulu ya rais Pierre Nkurunziza.
Aidha, Joseph Ntakarutimana ameteuliwa kuwa naibu wake, na Gelase Daniel Ndabirabe ameteuliwa kuwa katibu mtendaji anayesimamia shughuli za chama.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |