• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • Marekani yashindwa kutumia fursa ya kukabiliana na COVID-19 iliyotokana na juhudi za China
    • Jamii ya kimataifa haitatishwa na mswada wa Marekani kuhusu Taiwan

    Wakati dunia inakabiliana na maambukizi ya ugonjwa wa nimonia inayosababishwa na virusi vipya vya korona COVID-19, baadhi ya wanasiasa wa Marekani wanalihimiza baraza la chini la bunge la nchi hiyo kupitia "mswada wa mwaka 2019 kuhusu Taipei", ambao unaitaka serikali ya Marekani irekebishe uhusiano kati yake na nchi nyingine zinayorekebisha sera yake kuhusu Taiwan, ili kuiunga mkono Taiwan kuongeza nafasi ya kisiasa duniani.

    • China yafafanua wazo la jumuiya yenye hatma ya pamoja kwa vitendo halisi

    "Nawashukuru Wachina wote wanaoishi maisha yasiyo ya kawaida, wameacha mambo ya kujifurahisha, kwa ajili ya kuzuia maambukizi ya virusi. Huu ni mchango mkubwa kwa binadamu wote duniani." Hayo yamesemwa na katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres.

    • Tishio la usalama wa afya duniani halipaswi kugeuzwa mchezo wa kisiasa
    • Jopo la WHO lapongeza juhudi kubwa za China kukabiliana na COVID-19
    • Kwa nini utabiri wa "kuporomoka kwa China" imevunjwa tena?
    • Marekani yahofia mchina kugombea nafasi ya mkuu wa shirika la UM

    Uchaguzi wa mkurugenzi mkuu wa Shrika la Haki Miliki za Ubunifu Duniani WIPO utafanyika wiki ijayo mjini Geneva, Uswisi, na nchi mbalimbali ikiwemo China zimependekeza wagombea wao kwa ajili ya nafasi hiyo. Lakini hivi karibuni, baadhi ya wanasiasa wa Marekani wamefanya tena mchezo wao wa kisiasa.

    • Kauli zisizo za kweli za Pompeo na Marekani zinavyokosa mwelekeo
    • Wakati wa taabu, kuwasaidia wengine ni kama kujisaidia mwenyewe

    Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Zhao Lijian amesema, kuwasaidia watu wanaoisaidia China ni desturi ya kijadi ya China, na nchi hiyo inaishukuru jamii ya kimataifa kwa kuiunga mkono katika kupambana na COVID-19.

    • Gazeti la The Wall Street Journal la Marekani lakosolewa kwa kutoomba radhi kwa kupaka matope China

    Gazeti la The Wall Street Journal la Marekani limekosolewa na jumuiya ya kimataifa baada ya kutoa makala yenye ubaguzi dhidi ya wachina. Wafanyakazi 53 wa gazeti hilo wameuandikia barua ya pamoja uongozi wa gazeti hilo, wakilitaka liombe radhi kwa watu ambao hawakupendezwa na makala hiyo iliyoitwa "China ni wagonjwa wa kweli wa Asia".

    • Nia ya baadhi ya watu kutaka kuitenganisha China na pande nyingine imeshindwa
    • Mfadhaiko wa Pelosi waonesha kukosa kwa hadhi ya nchi za magharibi
    Kwenye mkutano wa usalama wa Munich uliofanyika juzi, spika wa baraza la chini la bunge la Marekani Bi Nancy Pelosi ameilaumu China kujaribu kueneza "udikteta wa kidigitali" kupitia kampuni ya teknolojia ya juu ya Huawei, huku akidai kuwa China inatishia kuzilipizia kisasi nchi zisizotumia teknolojia za Huawei. Mwanadiplomasia wa China Bi Fu Ying akijibu hoja hiyo alisema, tangu China ianze kutekeleza sera ya mageuzi na kufungua mlango katika miaka arobaini iliyopita, China imeingiza teknolojia mbalimbali kutoka nchi za magharibi, kampuni zikiwemo Microsoft, IBM na Amazon zote zinafanya shughuli zao nchini China. Anaona teknolojia hizo hazikutishia mfumo wa kisiasa wa China, bali zimeisaidia China kupata maendeleo makubwa. Aliendelea na kuuliza, "ni vipi kuingiza teknolojia ya mtandao wa 5G ya Huawei katika nchi za Magharibi, kutatishia mfumo wa kisiasa wa nchi hizo? Je mfumo wa kidemokrasia ni dhaifu sana kiasi cha kutishiwa na kampuni ya teknolojia ya juu ya Huawei?" Swali la Bi Fu Ying lilipigiwa makofi na washiriki wa mkutano huo, Bi Pelosi alionekana kufadhaika akidai kuwa kampuni za China ikiwemo Huawei si za mtindo wa kampuni huria. Lakini je marafiki wa Bi Pelosi kutoka Ulaya pia anaona hivyo? Jibu ni hapana.  
    • Tahariri: Rais wa China kutumia barua mbili Afrika ndani ya wiki moja kunaleta ishara gani?

    Tarehe 9, Februari, rais Xi Jinping wa China alituma barua kwa mkutano wa 33 wa wakuu wa Umoja wa Afrika ulioanza Addis Ababa, Ethiopia akipongeza nchi za Afrika na watu wake. Kabla ya hapo tarehe 2, Februari, rais Xi pia alimtumia barua rais Macky Sall wa Senegal ambayo ni nchi mwenyekiti mwenza wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika FOCAC akipongeza miaka 20 tangu kuanzishwa kwa FOCAC. Ndani ya wiki moja tu rais Xi alitumia barua mbili Afrika, jambo ambalo limetoa ishara zifuatazo: uhusiano kati ya China na Afrika uko katika kipindi kizuri zaidi cha kihistoria, China na Afrika zinajitahidi kujenga jumuiya yenye hatma ya pamoja kati yao iliyo na uhusiano wa karibu zaidi, na pia kuonesha urafiki wa dhati kati ya China na Afrika wakati China inakabiliwa na kipindi kigumu cha maambukizi ya virusi vipya vya korona.

    • Kampuni za China zina imani ya kushinda changamoto na kutimiza maendeleo endelevu

    Hivi karibuni kampuni nyingi za China zilianza tena uzalishaji. Baraza la serikali la China lilitoa taarifa likisisitiza kuimarisha kukinga na kuzuia maambukizi ya virusi vipya vya korona kwa njia ya kisayansi, na kushughulikia kwa utaratibu kazi ya uzalishaji ya kampuni. Katika hali hii ya maambukizi, kampuni za China zinatafuta njia mpya za ongezeko na kupanua fursa mpya za maendeleo

    • Tusiache uvumi na ubaguzi kuharibu juhudi za kudhibiti maambukizi ya virusi
    • "Virusi vya kisiasa" vinavyochafua mfumo wa China lazima viangamizwe

    Hivi sasa China inatumia kikamilifu ubora wa mfumo wake wa kisiasa, na kufanya juhudi katika kukinga na kudhibiti maambukizi ya virusi vya korona. Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Bw. Tedros Adhanom Ghebreyesus amesifu sana mfumo huo wenye nguvu kubwa na ufanisi wake katika mapambano hayo. Lakini waziri wa mambo ya nje wa Marekani Mike Pompeo amekosoa Chama tawala cha China na mfumo wa China ni "tishio la kizama". Wakati China inaposhughulikia hali hii ya dharura, kauli hiyo ya Pompeo, akiwa ofisa mkuu wa kidiplomasia wa nchi yenye nguvu zaidi duniani, si kama tu imekiuka moyo wa ubinadamu, bali pia kuwekea vizuizi ushirikiano kati ya China na Marekani katika kukabiliana na changamoto za pamoja

    • Uingereza kujitoa kwenye Umoja wa Ulaya kunamaanisha nini?

    Saa tano usiku jana kwa saa za London, Uingereza ilijitoa rasmi kwenye Umoja wa Ulaya. Tukio hili kubwa la kisiasa baada ya cita baridi linamaanisha nini kwa hali ya siasa nchini Uingereza, uhusiano kati ya Uingereza na Ulaya, na mchakato wa utandawazi barani Ulaya?

    • Uingereza kujitoa kwenye Umoja wa Ulaya kunamaanisha nini?

    Saa tano usiku jana kwa saa za London, Uingereza ilijitoa rasmi kwenye Umoja wa Ulaya. Tukio hili kubwa la kisiasa baada ya cita baridi linamaanisha nini kwa hali ya siasa nchini Uingereza, uhusiano kati ya Uingereza na Ulaya, na mchakato wa utandawazi barani Ulaya?

    • Makubaliano ya kunufaishana kati ya China na Marekani kuhimiza amani na utulivu duniani

    China na Marekani zimesaini makubaliano ya awali kuhusu suala la uchumi na biashara. Kwenye hafla ya kusainiwa kwa makubaliano hayo, mwakilishi wa China ambaye pia ni naibu waziri mkuu wa China Bw. Liu He amesema, makubaliano hayo yatanufaisha China, Marekani na dunia nzima. Shirika Kuu la Utangazaji la China CMG limetoa tahariri ya "Makubaliano ya kunufaishana kati ya China na Marekani kuhimiza amani na utulivu duniani".

    • Ongezeko la biashara ya nje ya China kuchangia utulivu wa uchumi duniani
    Takwimu mpya zilizotolewa na Idara Kuu ya Forodha ya China zimeonesha kuwa, thamani ya jumla ya biashara nje ya China imefikia dola za kimarekani trilioni 4.6 mwaka 2019, ambalo ni ongezeko la asilimia 3.4 kuliko mwaka 2018 wakati kama huo. Kwa kukabiliana na kukwama kwa ongezeko la biashara duniani, hali hii imeonesha uhai wa uchumi wa China, na kutoa mchango muhimu kwa uchumi wa dunia nzima.
    prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 next
    SearchYYMMDD  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako