• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • Virusi vya Corona vimevumbuliwa na Taasisi ya Utafiti wa Virusi ya Wuhan? Ni upuuzi tu!

    Shirika la Habari la Fox la Marekani limetoa ripoti ikisema chanzo cha virusi vya Corona ni Taasisi ya Utafiti wa Virusi ya Wuhan, "ushahidi" wa ripoti hiyo ni maneno matupu ya "watu kadhaa wenye chanzo cha habari".

    • Kauli ya kupotosha haiwezi kuficha makosa ya Marekani katika kukabiliana na COVID-19

    Seneta wa Chama cha Republican cha Marekani Bw. Lindsey O. Graham hivi karibuni alipohojiwa na Shirika la Televisheni la FOX amesema, China inapaswa kuwajibika na vifo vya Wamarekani elfu 16 na kukosa ajira kwa Wamarekani milioni 17 kutokana na maambukizi ya virusi vya Corona.

    • Marekani yachukulia misaada kama ni zana ya kisiasa

    Hivi karibuni Marekai imeahidi tena kutoa msaada wa dola milioni 225 za Kimarekani kwa nchi nyingine ili kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona. Lakini swali ni kwamba, je, ahadi hiyo itatimizwa lini?

    • Je, Marekani inataka kuficha siri gani kwa kumwondolea wadhifa nahodha wa manowari ya kivita

    Baada ya kutangaza barua ya kuomba msaada wa kuwaokoa maofisa na askari kwenye manowari inayobeba ndege, Kapteni Brett Crozier aliondolewa wadhifa wake na kaimu waziri wa jeshi la majini la Marekani Bw. Thomas Modly tarehe 3 Aprili.

    • China yaendelea kuboresha usimamizi wa jamii

    Rais Xi Jinping wa China hivi karibuni alipofanya ukaguzi mkoani Zhejiang amesema, kutatua masuala ya jamii ni kazi ya kimsingi ya kudumisha utulivu wa taifa moja, na madhumuni ya kufanya kazi hiyo ni kuwahudumia wananchi.

    • Biashara ya kuvuka mipaka ya China yafufua mnyororo wa ugavi duniani

    Maambukizi ya virusi vya Corona yamesababisha kusimama kwa masoko na matumizi duniani, na pia kuathiri mnyororo wa kimataifa wa ugavi. China ambayo imefanikiwa kudhibiti virusi hivyo, inarejesha utaratibu wa kawaida kwa pande zote, na biashara yake ya kuvuka mipaka inafufua mnyororo wa ugavi duniani.

    • Nchi zote duniani zahimizwa kushikamana kukabiliana na COVID-19

    Wakati dunia inakabiliwa na maambukizi ya virusi vya Corona, China ambayo imefanikiwa kudhibiti virusi hivyo, inatoa misaada ya kupambana na virusi hivyo, lakini baadhi ya wanasiasa wa magharibi wanatoa kauli za kupotosha kuhusu China. Hivyo jamii ya kimataifa imehimiza nchi zote duniani zishikamane kukabiliana na COVID-19.

    • Rais wa China asisitiza kuendeleza uchumi wa kijani

    • Kauli potofu za Bannon ni virusi vya kisiasa

    • Moyo wa dhati haupaswi kuchafuliwa kwa nia mbaya ya kisiasa

    Wakati vifaa vya matibabu vya China vinapofika katika nchi za nje, baadhi ya watu wa magharibi wanatoa kauli za uchochezi kwa kusema China inatoa msaada wa kupambana na virusi vya Corona ili kuongeza ushawishi wake duniani.

    • Mswada wa Marekani kuhusu Taiwan wadhuru pande zote wakati dunia inakabiliana na COVID-19

    Rais Donald Trump wa Marekani tarehe 26 alisaini mswada wa mwaka 2019 kuhusu Taibei na kuufanya uwe sheria, ili kuzuia nchi nyingine kuanzisha uhusiano wa kibalozi na China. Mswada huo unakiuka kanuni ya kuwepo kwa China moja na taarifa tatu za pamoja za China na Marekani, na kwenda kinyume na uhusiano na kanuni za kimsingi duniani, pia utasumbua juhudi za kimataifa za kukabiliana na COVID-19. Shirika Kuu la Utangazaji la China limetoa tahariri yenye kichwa cha "Mswada wa Marekani kuhusu Taiwan wadhuru pande zote wakati dunia inakabiliana na COVID-19".

    • Mshikamano, ushirikiano na uratibu ndio silaha ya binadamu kukabiliana na virusi vya Corona

    Rais Xi Jinping wa China amesema hivi sasa jumuiya ya kimataifa inahitaji zaidi imani thabiti, ushirikiano na mshikamano, kuimarisha ushirikiano wa kimataifa, kujumuisha nguvu za pamoja, na kushirikiana kupata ushindi katika vita dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona. Rais Xi amesema hayo katika mkutano maalum wa viongozi wa Kundi la Nchi 20 (G20) uliofanyika jana kwa njia ya video

    • Bidhaa za China kuwa na virusi ni kauli isiyokuwa na ukweli

    Baadhi ya watu kutoka nchi za Magharibi wakishirikiana na wanasiasa wa Marekani wanaosema virusi vya Corona ni "virusi vya China", wanaeneza habari zisizo za ukweli kwamba bidhaa za China zina virusi vya Corona, ili kuchochea kususia bidhaa zinazotengenezwa na China.

    • Marekani yatakiwa kutoa maelezo wazi juu ya mashaka matatu kuhusu maambukizi ya virusi vya Corona
    • Baadhi ya wanasiasa wa Marekani wanavuruga ushirikiano wa kimataifa katika kukabiliana na COVID-19

    Maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 yanaenea kwa kasi duniani, na jamii ya kimataifa inahitaji kuimarisha ushirikiano ili kushinda janga hili, lakini baadhi ya wanasiasa wa Marekani wanavuruga ushirikiano huo kufuatia vitendo vyao vya kibinafsi.

    • WHO yasema China iko wazi kuhusu hali halisi ya maambukizi ya Corona nchini humo

    Tangu kutokea kwa mlipuko wa ugonjwa wa nimonia inayosababishwa na virusi vipya vya corona COVID-19, baadhi ya wanasiasa na vyombo vya habari vya Marekani vimeilaumu bila ya msingi China kwa kuficha hali halisi ya maambukizi ya ugonjwa huo nchini. Lakini hivi karibuni mjumbe wa Shirika la Afya Duniani WHO nchini China Gauden Galea amesema huu sio ukweli.

    • Chuki dhidi ya China haitasaidia Marekani kushinda vita dhidi ya COVID-19

    Jumatatu, rais Donald Trump wa Marekani kwenye akaunti yake ya Twitter aliviita virusi vipya vya korona kuwa "virusi vya China", na kusababisha shutuma kali ndani na nje ya nchi hiyo. Wizara ya Mambo ya Nje ya China imeikosoa kauli hiyo, huku mkurugenzi wa Kituo cha Kukinga na Kudhibiti Magonjwa Marekani CDC Robert Redfield na meya wa mji wa New York Bill de Blasio wakisema kauli hiyo ya ubaguzi inalenga kuibebesha China lawama ambayo haistahili kwa nia ya kufunika mapungufu katika kukabiliana na maambukizi ya virusi hivyo nchini Marekani.

    • Kwa nini hatua za Marekani kukabiliana na COVID-19 zinakosolewa

    Soko la hisa la Marekani jana liliporomoka tena, na vigezo vya Dow vilishuka kwa asilimia 13, kiasi hicho ni kikubwa zaidi katika miaka zaidi ya 30 iliyopita. Rais Donald Trump wa nchi hiyo kwa mara ya kwanza amekiri kuwa uchumi wa Marekani unaelekea kudidimia kutokana na ugonjwa wa COVID-19. Lakini alipotathmini hatua alizochukua kukabiliana na ugonjwa huo, alisema ni alama 10.

    • Marekani yahisiwa kuwa chanzo cha COVID-19

    Hivi karibuni, Mkurugenzi wa Kituo cha Kudhibiti na Kukinga Magonjwa cha Marekani Robert Redfield alisema kwenye mkutano wa baraza la wawakilishi la bunge la nchi hiyo kuhusu ugonjwa wa nimonia inayosababishwa na virusi vipya vya korona COVID-19, kuwa baadhi ya watu waliodhaniwa kufariki kwa mafua huenda walifariki kutokana na virusi hivyo. Kauli hii ni sawa na kukiri makosa iliyofanya Marekani katika kugundua vifo vilivyotokana na virusi vya korona, na pia ni sababu ya kuitilia mashaka Marekani kuwa ni chimbuko la virusi vipya vya korona.

    • Ni wakati kwa binadamu kushikamana kupambana na COVID-19

    Timu ya watu 7 inayoundwa na wataalamu wa afya kutoka Chama cha Msalaba Mwekundu cha China imeondoka leo, ikiwa na vifaa vya matibabu kuelekea Italia, nchi inayokabiliwa na hali mbaya ya maambukizi ya virusi vya korona (COVID-19). Hadi kufikia jana jioni, jumla ya wagonjwa zaidi ya elfu 12 waliripotiwa kuambukizwa, huku idadi ya vifo ikifikia 827.

    prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 next
    SearchYYMMDD  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako