• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • Gazeti la New York Times latoa habari zisizo za kweli kuhusu utoaji wa nafasi za ajira mkoani Xinjiang
    Gazeti la New York Times la Marekani limetoa makala moja, ikisema serikali ya mkoa wa Xinjiang "inawalazimisha" watu wa kabila la Wauygur kufanya kazi, madai ambayo hayana msingi wowote na kupotosha ukweli wa kazi ya kawaida ya serikali ya huko ya kuwasaidia watu maskini na kutoa nafasi za ajira.
    • Hongkong si kipande cha mchezo wa chesi kwa baadhi ya wanasiasa wa kigeni
    Hivi karibuni, baadhi ya wanasiasa wa kigeni walimwandikia barua ya pamoja ofisa mwandamizi wa Mkoa wa utawala maalumu wa Hongkong Bibi Carrie Lam, wakilaumu kikosi cha polisi cha Hongkong kinachotekeleza majukumu yake kwa makini ya kulinda utaratibu wa jamii, kushambulia uhuru na utawala wa sheria ambao Hongkong inauonea fahari, na kudai "kuanzisha utaratibu huru wa kimataifa wa uchunguzi", kitu ambacho hakina msingi wowote, na kuingilia kati mambo ya Hongkong kwa uwazi.
    • China yajitahidi kusonga mbele kwa pamoja na dunia nzima
    Wakati mwaka 2020 ulipokaribia, rais Xi Jinping wa China alitoa salamu za mwaka mpya kupitia Shirika Kuu la Utangazaji la China CMG na mtandao wa Internet, kuhitimisha mafanikio yaliyopatikana katika mwaka uliopita, na kuangalia mustakabali wa maendeleo katika mwaka 2020.
    • China yachukua hatua halisi katika kuboresha usimamizi wa dunia
    • China yapunguza ushuru wa forodha wa bidhaa kutoka nchi za nje

    • China ina uwezo wa kuhimiza utekelezaji wa sera ya "Nchi Moja, Mifumo Miwili" kupata mafanikio makubwa zaidi
    • China ina uwezo wa kushinda changamoto za kiuchumi

    Mkutano wa siku tatu wa kazi za kiuchumi wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China umefungwa, baada ya kujadili kazi za kiuchumi za mwaka huu, kuchunguza hali ya uchumi ya hivi sasa, na kupanga kazi za kiuchumi za mwakani. Shirika Kuu la Utangazaji la China limetoa tahariri kuhusu mkutano huo inayoitwa "China ina uwezo wa kutosha kushinda changamoto za kiuchumi"

    • China yasikitishwa na kukwama kwa idara ya kusikiliza mastaka ya WTO

    • Hali ya haki za binadamu nchini Marekani yawekwa wazi katika ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu nchini humo

    Leo ni Siku ya Kimataifa ya Haki za Binadamu. Hali ya haki za binadamu nchini Marekani imewekwa wazi katika ripoti iliyotolewa na Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya haki za binadamu nchini humo.

    • Kwa nini vyombo vya habari vya magharibi vinakaa kimya kuhusu filamu za kumbukumbu kuhusu Xinjiang

    Shirika kuu la Utangazaji la China CMG hivi karibuni limetoa filamu mbili za kumbukumbu kuhusu mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea mkoani Xinjiang, China, mashambulizi ambayo yamedhuru vibaya haki za binadamu za watu wa makabila mbalimbali mkoani humo. Filamu hizo zimefuatiliwa sana na watu, ila zimepuuzwa na vyombo vya habari vya nchi za magharibi. CMG imetoa tahariri yenye kichwa cha "Kwa nini vyombo vya habari vya magharibi vinakaa kimya kuhusu filamu za kumbukumbu kuhusu Xinjiang".

    • Xinjiang yaondoa ugaidi kwa kuimarisha utulivu na ustawi

    Baraza la wawakilishi la bunge la Marekani limetoa Mswada wa mwaka 2019 wa Sera ya Haki za Binadamu za Wauyghur, na kupaka matope sera ya serikali ya China katika mkoa wa Xinjiang. Shirika Kuu la Utangazaji la China limetoa tahariri yenye kichwa cha "Xinjiang yaondoa ugaidi kwa kuimarisha utulivu na ustawi."

    • China yapiga hatua thabiti katika kuelekea kuwa nchi yenye nguvu kubwa kibiashara
    Hivi karibuni China ilitangaza Mwongozo kuhusu kuhimiza maendeleo yenye sifa bora ya biashara, ikiweka mipango kuhusu kuzidi kuboresha muundo na kuongeza ufanisi na uwezo wa biashara, ili kutimiza maendeleo yenye sifa bora ya biashara na kuielekeza China kuwa nchi yenye nguvu kubwa ya biashara…
    • China haitashindwa na tishio lolote la nje

    Serikali ya Marekani hivi karibuni imesaini "Mswada wa Haki za Binadamu na Demokrasia ya Hong Kong" na kuuidhinisha kuwa sheria, ili kuunga mkono watu wenye msimamo mkali wanaovuruga utulivu mkoani Hong Kong. Kitendo hicho kimeingilia kati mambo ya Hong Kong, ambayo ni mambo ya ndani ya China, na kukiuka sheria ya kimataifa na kanuni ya kimsingi ya uhusiano wa kimataifa. Shirika Kuu la Utangazaji la China limetoa tahariri inayosema China haitashindwa na tishio lolote la nje.

    • Mswada wa Marekani kuhusu suala la Hong Kong ni mchezo wa kisiasa

    Utawala wa Marekani jana ulisaini "Mswada wa Haki za Binadamu na Demokrasia ya Hong Kong" na kuuidhinisha kuwa sheria. Kitendo hiki cha kuingilia kati mambo ya Hong Kong ambayo ni mambo ya ndani ya China kimepingwa vikali na China na jumuiya ya kimataifa. Shirika kuu la Utangazaji la China limetoa tahariri yenye kichwa cha "Mswada wa Marekani kuhusu Suala la Hong Kong ni Mchezo wa Kisiasa"

    • Ziara ya rais wa China nchini Ugiriki yasaidia kuimarisha ushirikiano kati ya nchi hizo

    Rais Xi Jinping wa China amefanya ziara nchini Ugiriki kuanzia tarehe 10 hadi 12. Katika ziara yake hiyo, viongozi wa nchi hizo mbili wamejadiliana kuhusu jinsi ya kuongeza kuaminiana kisiasa, kuimarisha ushirikiano wa kivitendo, kuhimiza mazungumzo kuhusu ustaarabu, na kufikia maoni muhimu ya pamoja na matunda mengi. Hii imeonesha kuwa majadiliano ya kiustaarabu na ushirikiano wa kunufaishana vinainua ngazi ya uhusiano wa wenzi wa kimkakati wa pande zote kati ya China na Ugiriki, jambo litakalowaletea watu wa nchi hizo fursa za maendeleo na kukuza uhusiano kati ya China na Ulaya.

    • "Siku ya Manunuzi ya Novemba 11" yathibitisha uhai mkubwa wa uchumi wa China

    Tarehe 11 Novemba ni "Siku ya Manunuzi" ambayo iliwadia siku moja baada ya Maonesho ya Pili ya Kimataifa ya Uingizaji wa Bidhaa za Nje ya China. Katika siku hiyo, thamani ya mauzo ya bidhaa kupitia Taobao na Jingdong ambayo ni makampuni makubwa ya mauzo kupitia mtandao wa Internet nchini China ilizidi dola bilioni 38.3 na 29.2 za kimarekani. Shirika kuu la Utangazaji la China limetoa tahariri yenye kichwa cha habari "Mauzo mazuri ya Siku ya Manunuzi ya Novemba 11 yathibitisha uhai mkubwa wa uchumi wa China.

    • CIIE yahimiza kufungua mlango na maendeleo kwa pamoja

    Maonesho ya pili ya Kimataifa ya Uingizaji wa Bidhaa kutoka Nje ya China CIIE yamefungwa mjini Shanghai, China, baada ya kufikiwa kwa makubaliano ya biashara yenye thamani ya dola bilioni 71.13 za kimarekani, ambalo ni ongezeko la asilimia 23 ikilinganishwa na mwaka jana. Shirika Kuu la Utangazaji la China limetoa tahariri ya "CIIE yahimiza kufungua mlango na maendeleo ya pamoja".

    • Maonesho ya kimataifa ya bidhaa zinazoagizwa na China yaonesha mivuto minne ya soko la China

    Maonesho ya pili ya kimataifa ya bidhaa zinazoagizwa na China yanafanyika mjini Shanghai, China. Shirika Kuu la Utangazaji la China limetoa tahariri ya "maonesho ya kimataifa ya bidhaa zinazoagizwa na China yaonesha mivuto minne ya soko la China".

    • China na Marekani zahimiza utatuzi wa mvutano wa kibiashara

    • Pendekezo la China lachangia ujenzi wa mustakabali wa pamoja katika mtandao wa Internet
    Mkutano wa sita wa Mtandao wa Internet duniani umefunguliwa leo mjini Wuzhen, mkoani Zhejiang, China.
    Rais Xi Jinping wa China ametuma barua ya pongezi ambayo ilichambua kwa kina mustakabali wa maendeleo ya mtandao wa Internet, na kudhihirisha kuwa ni jukumu la pamoja kwa jumuiya ya kimataifa kuendeleza, kutumia na kusimamia vizuri mtandao wa Internet ili kuufanya uhudumie vizuri binadamu.
    prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 next
    SearchYYMMDD  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako