• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • Rais wa Marekani atangaza mpango wa kufufua uchumi kutokana na idadi kubwa ya watu waliopunguzwa kazini 2020-05-07

    Hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Aprili idadi ya watu walioambukizwa virusi vya Corona nchini Marekani imezidi laki 8.6, idadi ya vifo imezidi elfu 49.

    • Sayansi na teknolojia zachangia sana udhibiti wa virusi vya Corona 2020-05-06
    Serikali ya Kenya inatumia simu za mikononi kuwafuatilia wagonjwa wanaoshukiwa kuambukizwa virusi vya Corona. Ofisa mwandamizi wa nchi hiyo amesema ufuatiliaji wa simu za mikononi unaanza mara moja baada ya mtu kutambuliwa kuwa na hatari ya kuambukizwa na virusi vya Corona na unaendelea hadi hatari hii itakapoondolewa.
    • Maelewano na ushirikiano wa wananchi wa China vyaweka msingi thabiti kwa kushinda mapambano dhidi ya virusi vya Corona 2020-05-05

    Katika mapambano magumu dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona, ili kuzuia kwa kiasi kikubwa ugonjwa huo, serikali ya China imekuwa ikitoa wito kwa wananchi kujilinda, na kupunguza safari zisizo za lazima. Ingawa janga hili lilitokea wakati wa sikukuu ya mwaka mpya wa jadi wa China, ambapo ni wakati muhimu kwa familia za wachina kujumuika na kusherehekea kwa pamoja, lakini ni wajibu kwa wananchi kufuata maagizo ya kujikinga, na kufahamu umuhimu wa "kukaa nyumbani vilevile ni kutoa mchango". Wananchi wa China wanafahamu vizuri kuwa kushinda mapambano dhidi ya ugonjwa huo kunategemea nidhamu na kufuata maagizo.

    • Kwanini China inaweza kudhibiti maambukizi ya virusi vya COVID-19? 2020-05-04
    • Changamoto zinazowakabili wafanyakazi wa matibabu wakati wa mlipuko wa maambukizi ya virusi vya Corona 2020-04-30

    Mlipuko wa maambukizi ya virusi vya Corona ulitokea mwezi Disemba mwaka 2019 nchini China, ulianza kupamba moto wakati wa sikukuu ya mwaka mpya wa jadi wa kichina. Hali hiyo ilifanya maambukizi hayo kuenea kwa kasi kote nchini. Kutokana na kukabiliwa na janga hili la dharura, wafanyakazi wa matibabu walianza mara moja kufanya kazi mstari wa mbele kupambana na virusi hivyo, wakiwa wanakabiliwa na changamoto nyingi.

    • Mashaka kuhusu data za maambukizi ya COVID za China yanaonesha nini? 2020-04-27
    • COVID-19 yasababisha kupanda kwa bei ya bidhaa 2020-04-24
    Maambukizi ya virusi vya COVID-19 imesababisha kupanda kwa bei ya baadhi ya bidhaa
    • Tisho la virusi vya COVID-19 kwa watoto 2020-04-23
    Maambukizi ya virusi vya COVID-19 yameathiri vibaya watoto katika pande nne ikiwemo elimu, chakula, usalama na afya.
    • Marekani kusitisha ufadhili kwa WHO kutadhuru maslahi za nchi nyingine na pia itajidhuru yenyewe 2020-04-16
    Marekani kusitisha ufadhili kwa WHO kutadhuru maslahi za nchi nyingine na pia itajidhuru yenyewe
    • China yaimarisha hatua za kuzuia kuingia kwa virusi vya Corona kutoka nje kwa raia wote bila tofauti 2020-04-13

    China yaimarisha hatua za kuzuia kuingia kwa virusi vya Corona kutoka nje kwa raia wote bila tofauti. Taratibu zinazochukuliwa na China za kupambana na virusi vya Corona zina lengo moja tu, yaani kulinda usalama wa watu wote

    • Kipindi maalum cha kujadili changamoto ya virusi vya Corona katika Siku ya Qingming 2020-04-04

    Tarehe 4, Aprili kwa mwaka huu ni Siku ya Qingming hapa China. Hii ni siku maalum ambayo inatengwa na China kila mwaka kuwakumbuka marehemu. Katika siku hii wachina wote wanapewa mapumziko ya siku moja ili kufanya shughuli za kuwakumbuka marehemu wao wapendwa, mashujaa na watu wengine.

    • Kushinda COVID-19 kwa niaba ya jumuiya yenye hatma ya pamoja 2020-02-19

    Tangu kutokea kwa maambukizi ya virusi vipya ya korona vinavyosababisha nimonia (COVID-19), watu wa nchi mbalimbali duniani wameeleza kuiunga mkono China.

    • Adui mkubwa zaidi sio virusi vya korona, bali ni habari za kupotosha zinazoweza kuwatenga watu 2020-02-18

    China bado inajitahidi kupambana na maambukizi ya virusi vipya vya korona vinavyosababisha nimonia (COVID-19). Wakati huohuo, badala ya kutoa misaada, baadhi ya nchi za magharibi zinapaka matope China kutokana na ugonjwa huo. Shirika Kuu la Utangazaji la China limetoa tahariri inayouliza, "Adui mkubwa zaidi kuliko virusi ni nini".

    • China yatoa wito wa ushirikiano wa kimataifa dhidi ya COVID-19 2020-02-14

    Mjumbe wa Baraza la Taifa la China ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya nje ya China Bw. Wang Yi amesema virusi havina mipaka, na jumuiya ya kimataifa inapaswa kufanya kazi kwa pamoja kupigana na virusi vipya vya korona (COVID-19).

    • Rais wa China aagiza kupeleka madaktari wengine 2,600 wa jeshi katika mji wa Wuhan unaokumbwa na maambukizi 2020-02-13

    Rais Xi Jinping wa China ameagiza madaktari wengine 2,600 wa kijeshi kupelekwa wametumwa mjini Wuhan, ambao umeathirika zaidi na maambukizi ya virusi vipya ya korona COVID-19.

    • China yaipa Afrika vifaa 3,000 vya kupima virusi vya korona 2020-02-11

    China inaendelea kutoa msaada kwa Afrika ili kuitayarisha kukabili virusi vya korona ikiwa vitatokea barani humo.

    • Rais wa China amwambia mwenzake wa Marekani kuwa China ina imani na uwezo wa kushinda maambukizi ya virusi 2020-02-07

    Rais Xi Jinping wa China amemwambia mwenzake wa Marekani Donald Trump kuwa China ina imani na uwezo wa kushinda vita dhidi ya maambukizi ya virusi vipya vya korona.

    Rais Xi amesema hayo alipoongea na rais Trump leo kwa njia ya simu, na pia amesema China imechukua hatua kamili na kujibu kwa haraka maambukizi hayo. Rais Xi pia amemwahakikishia mwenzake wa Marekani kuwa mustakbali wa ukuaji wa uchumi wa muda mrefu haujabadilika.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako