• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • Afrika yajiunga na China wakati dunia umeweka uhai ndoto ya Mkanda Mmoja Njia Moja 2017-05-19

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na Waziri Mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn ni miongoni mwa viongozi 29 wa nchi zilizokongamana Beijing kupumulia uhai pendekezo la Mkanda Mmoja Njia Moja.

    • Afrika itafanya vyema kuukumbatia pendekezo la Ukanda Mmoja na Njia Moja 2017-05-12

    Rais wa China Xi Jinping alipendekeza na kukuza pendekezo la Ukanda Mmoja na Njia Moja (One Belt One Road) miaka 3 iliyopita, akiutangaza kama kielelezo mpya ya ushirikiano ambayo itachochea maendeleo ya pamoja na mafanikio. Dhahiri, hii imekuwa kipengele muhimu zaidi ya sera za kigeni ya China. Wengi wanautambua kama mchango wa China kwa utaratibu mpya wa dunia.

    • Ushawishi wa Kiuchumi unaonawiri wa Mkoa wa Guangdong kwa Mataifa ya Afrika 2017-05-05

    China imebarikiwa na kanda maalum ambayo imeiweka kwenye kilele cha uchumi duniani. Lakini jimbo la Guangdong kwa wepesi yaonekana kama kichocheo kikuu cha ushawishi wake.

    • Huawei: Utafiti na Ubora ni nguzo yetu 2017-05-04

    Katika mfululizo wa mipango ya 13 ya China ndani ya miaka mitano (2016-2020), serikali ya China imeweka bayana kwamba inategemea uvumbuzi kuongeza ukuaji wake. Kwa mujibu wa utawala huo wenye makao makuu Beijing, hii itakuza nguvu mpya katika utekelezaji wake wa mikakati ya maendeleo yanayotokana na msukumo wa uvumbuzi.

    • Droni za Kilimo kutoka China kunufaisha wakulima 2017-04-26

    Sekta ya kilimo inaendelea kupitia mabadiliko mengi. Kuongezeka kwa idadi ya watu duniani inatoa wito wa kuongeza uzalishaji wa chakula. Hata hivyo ahadi hii inaandamwa na vikwazo chungu nzima.

    • Mashirika ya kijamii yaliyojitolea kusaidia Waafrika Kuishi China 2017-04-24

    Ni jinsi gani Waafrika ambao husafiri nje ya nchi katika kutafuta malisho mazuri hufanikiwa kuishi kati ya watu wageni kutoka asili mbalimbali pamoja na tamaduni tofauti?

    • Beijing yatetea ubora wa bidhaa Kutoka China 2017-04-20

    Ubora wa bidhaa zinazotengenezwa kutoka China na kusafirishwa sehemu nyingi duniani, daima zimepokelewa kwa miitikio tofauti. Kwa mara nyingi bidhaa hizo zimedaiwa kuwa na ubora wa hali duni. Afrika kwa upande mwingine imetajwa kuwa mahala ambapo bidhaa hizo zinarundikwa.

    • China yakiri changamoto nyingi katika uwekezaji wake kwenye baadhi ya mataifa ya Afrika 2017-04-14

    Beijing imetangaza kuwa imeboresha ushirikiano wake na Afrika kufikia kiwango cha kina kimkakati. Hii hoja ya karibuni kulingana na maafisa wakuu wa serikali ya China itaharakisha utekelezaji wa malengo muhimu yaliyoandaliwa hasa kuwezesha mataifa ya Africa kuwa bora kiuchumi na kujitegemea.

    • Wachina wakaribisha majira ya machipuko kwa maadhimisho 2017-04-04

    Mwanzo wa Aprili inadhihirisha mwisho wa majira ya baridi, lakini la muhimu zaidi ni kwamba inatoa fursa kwa msimu mpya wa majira ya machipuko, ambalo ni tukio la kihistoria kwa idadi kubwa ya mataifa duniani.

    • Kampuni Maarufu ya uchapishaji ya China ya Phoenix yatafuta washirika Afrika 2017-03-31

    Kampuni maarufu ya uchapishaji kutoka China sasa inanuia kupanua shughuli zake barani Afrika kuanzia mwaka huu. Kampuni hiyo ya Phoenix Publishing Media Group imetangaza kuwa inatafuta makampuni kutoka bara hilo ili kushirikiana katika sekta ya uchapishaji.

    • China yataka mataifa ya Africa yatoe habari zaidi kuhusu nafasi za uwekezaji 2017-03-30

    Serikali ya China imefichua kuwa iko tayari kuwekeza zaidi katika bara la Africa. Wizara ya biashara ya nchi hiyo hata hivyo inasema ni wajibu wa nchi za Afrika kutoa taarifa za kutosha kuhusu maeneo ya uwekezaji ambayo usimamizi wa Beijing utaingiza rasilimali zaidi.

    • Maofisa wa Kenya na China kukamilisha makubaliano ya ujenzi wa barabara mpya 2017-03-29
    Kikosi cha maafisa wa serikali ya Kenya wako China kukamilisha mikataba kuhusiana na sheheni ya mwisho ya makocha ya abiria na mizigo zitakazotumika karibuni mara tu reli ya kisasa inayojengwa kutoka Mombasa kuelekea Naivasha itakapozinduliwa
    • Kuondoa mkanganyo wa tiba ya jadi ya kichina 2017-03-27
    Sehemu kubwa ya maisha ya watu wa China yakini ni ya kipekee na tofauti ikilinganishwa na mataifa mengine duniani. Mfumo wa afya katika taifa la China ni mojawapo. Tofauti na aina nyingine za dawa za jadi ambazo kwa kiasi kikubwa yaonekana kutokomea, tiba asilia ya Kichina maarufu TCM inaendelea kunawiri.
    • Makampuni ya biashara ya nyumba ya China yapanua biashara zao Afrika 2017-03-24
    Kampuni ya China Jiangsu International Economic and Cooperation Group, CJI, sasa inataka kupanua shughuli zake ndani ya bara la Afrika katika sekta ya mali isiyohamishika.
    • China inavyothamini utamaduni wa jadi wa okestra na kuutumia kuleta umoja 2017-03-22
    Ni utamadauni wa kufana, ambao umekuwepo kwa vizazi vingi na bado ni maarufu miongoni mwa watu wa China. Utamaduni wa okestra ya jadi kwa kichina huheshimiwa na wengi, vijana kwa wazee pamoja. Lakini kinachofanya uwe wa kipekee, ni jinsi ulivyo na mvuto kwa watu. Mengi yamesemwa kuhusu utamaduni huu, lakini ukibahatika kujionea mwenyewe maonyesho yake, ndio unaweza kuelewa zaidi.
    • Eric Biegon, mwandishi wa habari wa KBC Channel 1 TV, Kenya 2017-03-22
    1  2  3  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako