• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Bw. Xi Jinping achaguliwa kuwa katibu mkuu wa kamati kuu ya 19 ya CPC
    Habari
    v China yafanya juhudi kuhimiza kazi ya kujenga Jumuiya ya mustakabali wa pamoja wa binadamu
    v Rais Xi Jinping asema wananchi wote watanufaika baada ya China kukamilisha ujenzi wa jamii yenye maisha bora mwaka 2020
    v Rais Xi Jinping asema zama mpya zinahitaji hali mpya
    v Mageuzi na ufunguaji mlango ni hatua muhimu inayoamua hatma ya China ya zama hizi
    v Bw. Xi Jinping achaguliwa kuwa katibu mkuu wa kamati kuu ya 19 ya CPC
    More>>
    Maelezo
    v Xi kutumia hadhi yake mpya kushawishi maendeleo Afrika

    Rais Xi Jinping sasa anasema atatumia hadha aliyotunukiwa katika jamii ya Kichina kuboresha maisha ya wengi katika nchi zinazoendelea. Xi anasema mawazo yake sasa zinatoa mbinu mbadala kupambana na changamoto zinazokabili nchi nyingi.

    v Xi atangaza mwamko mpya katika awamu ya pili ya utawala wake.

    BAADA ya kufanyika kwa mkutano mkuu wa Chama tawala cha kikomunisti,Rais wa China Xi Jinping ametangaza safu mpya ya uongozi wa kamati kuu ya chama hicho kwa muhula mpya wa miaka mitano,yenye lengo la kuimarisha ustawi na kupanua ushawishi wa taifa hilo kimataifa.

    v Balozi wa Jamhuri ya Kongo nchini China asema China imetoa mfano wa kuigwa katika kuondoa umaskini

    Balozi wa Jamhuri ya Kongo nchini China Bw. Daniel Owassa amesema, tangu mkutano mkuu wa 18 wa Chama cha kikomunisti cha China ufanyike miaka mitano iliyopita, China imepata mafanikio makubwa katika kuondoa umaskini na kutoa mfano wa kuigwa kwa nchi mbalimbali duniani. Pili Mwinyi ana maelezo zaidi.

    More>>
    Picha

    Balozi wa Jamhuri ya Kongo nchini China asema China imetoa mfano wa kuigwa katika kuondoa umaskini

    Bw. Xi Jinping achaguliwa kuwa katibu mkuu wa kamati kuu ya 19 ya CPC

    Wajumbe wa kudumu wa Ofisi ya siasa ya Kamati kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China wachaguliwa

    Mkutano mkuu wa 19 wa Chama cha kikomunisti cha China wafungwa

    Enzi mpya China na kuongezeka kwa ushawishi wake ulimwenguni

    CPC waandaa maonyesho ya mafanikio ya awamu ya kwanza ya Rais Xi ikiwemo kuimarika ushirikiano na nchi za Afrika.
    More>>
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako