• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Novemba 7-Novemba 13) 2020-11-12
    1.China kuipa kipaumbele Afrika katika utoaji wa chanjo ya covid-19
    2.Vyombo vya habari na wachumi wa Afrika waona China inaendelea kuongoza ufufukaji wa uchumi wa dunia
    3.Bunge lampitisha Kassim Majaliwa kwa kura zote kuwa Waziri Mkuu
    4.Waziri mkuu wa Ethiopia asema operesheni za kijeshi zinalenga kumaliza hali ya kuepuka adhabu
    5.Ethiopia haitatumbukia kwenye machafuko kwasababu ya operesheni ya Tigray
    6.Mfumo wa reli mjini Nairobi kupunguza msongamano wa magari
    7.Uuzaji bidhaa wa Kenya kwa nchi za Afrika waongezekana kufikia kiwango cha kabla ya COVID-19
    8.Nchi mbalimbali zatoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kujenga mazingira mazuri kwa wakimbizi wa Syria kurudi nyumbani
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Oktoba 31-Novemba 6) 2020-11-06
    1.Magufuli aapishwa kuwa rais wa Tanzania kwa kipindi cha pili
    2.Waziri mkuu wa Falme za kiarabu apigwa chanjo ya Covid 19 iliyotengenezwa na China
    3.Viongozi wakuu nchini Kenya watakiwa kufanya mazungumzo kuhusu BBI
    4.Uingereza na Italia kuanza hatua kali za kuzuia corona
    5.Waziri Mkuu wa Ethiopia adai ghasia za Tigray zimedhibitiwa
    6.Mshukiwa wa uhalifu wa kivita wa Kosovo akamatwa
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Oktoba 24-Oktoba 30) 2020-10-30
    1.SHULE HAZITAFUNGWA LICHA YA CORONA KUSAMBAA ZAIDI KENYA
    2.MATUMAINI YA NGOZI OKONJO IWEALA KUONGOZA WTO YAINGIA DOSARI
    3.ULAYA YAANZA KUWASIHI WATU KUSALIA MANYUMBANI KUTOKANA NA WIMBI LA PILI YA CORONA.
    4.WANAWAKE SOMALIA WAPIGANIA NAFASI ZAIDI BUNGENI
    5.RASIMU YA KUBADILISHA KATIBA KENYA YAZINDULIWA
    6.MIAKA MIWILI GEREZANI USIPOVALIA MASKI NCHINI ETHIOIPIA
    7.RWANDA YATAFUTA DOLA MILIONI 640 KUPUNGUZA VIFO VYA MAPEMA VYA NCDs
    8.MWALIMU MPALESTINA ASHINDA TUZO LA MWALIMU BORA DUNIANI
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Oktoba 17-Oktoba 23) 2020-10-23

    1.Mahakama ya juu ya Burundi imemhukumu kifungo cha maisha rais wa zamani wa nchi hiyo, Meja Pierre

    2.Maandamano ya Sars Nigeria: Ghasia zaibuka Lagos baada ya polisi kuwafyatulia risasi waandamanaji

    3.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kukomeshwa kile alichokiita "ukatili" wa polisi nchini Nigeria

    4.Rais wa Marekani Donald Trump amesema Sudan itaondolewa kwenye orodha ya mataifa yanayofadhili makundi ya kigaidi, ikiwa itakubali kutoa dola milioni 335 kuwalipa wahanga wa Kimarekani wa mashambulizi ya kigaidi.

    5.Marufuku kutoka nje usiku jijini Paris, hofu yatanda upya virusi vya Corona Ulaya

    6.COVID-19: Idadi Ya Visa Vya Maambukizi Yazidi Kuwa Ya Juu

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Oktoba 10-Oktoba 16) 2020-10-16
    1.Makasisi wa kikatoliki washtakiwa kwa tuhuma za unyanyasaji wa kingono
    2.Ujerumani yaandikisha idadi kubwa ya maambukizi ya Corona
    3.EAC yapoteza dola zaidi ya bilioni 37 kwenye sekta ya biashara kutokana na corona
    4.Nigeria yaendelea kushuudia maandamano
    5.Tanzania kutumia helikopta kuzima moto katika mlima Kilimanjaro
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Oktoba 3-Oktoba 9) 2020-10-09

    1.Nchi za Afrika zatakiwa kuondoa vizuizi visivyo vya ushuru ili kutimiza lengo la Eneo la Biashara Huria ya Afrika

    2.Kenya yafikiria kutumia app ya simu ya mkononi kukusanya kodi za bidhaa zinazoingizwa ili kukuza biashara ya kimataifa

    3.Papa Francis: Ubepari wa soko umeshindwa, udugu wa kibinadamu ni muhimu baada ya janga la COVID-19

    4.Tanzania yarekodi ongezeko kubwa la watalii kutoka nje ya nchi

    5.EAC yapoteza dola zaidi ya bilioni 37 katika sekta ya biashara kutokana na janga la COVID-19

    6.Wataalam wa afya wa China wamaliza kazi za kusaidia kupambana na COVID-19 nchini Lesotho na kuelekea Angola

    7.BOT yasema uchumi wa Tanzania unaendelea vizuri licha ya athari za COVID-19

    8.China yapongeza serikali ya mpito ya Sudan kwa kusaini makubaliano ya amani na kundi la upinzani

    9.Jamii ya kimataifa yatarajia kuimarisha ushirikiano na China katika kukabiliana na virusi vya Corona

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Septemba 26-Oktoba 2) 2020-10-02
    1.KENYA: MAHABUSU 10,000 WAACHILIWA KIPINDI CHA CORONA.
    2.TIMOITHY RAY BROWN: ALIYEKUWA MTU WA KWANZA KUTIBIWA HIV AMEFARIKI .
    3.Magawa: Mfahamu Panya kutoka Tanzania anayeweza kugundua mabomu yaliotegwa ardhini duniani.
    4.Félicien Kabuga: Mahakama ya Ufaransa yaamuru mshukiwa wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda ashtakiwe Tanzania.
    5.Uganda kusaidia ujenzi wa barabara Congo kuimarisha biashara.
    6.Mahakama ya EAC yatupilia mbali kesi ya kumzuia Museveni kugombea urais.
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Septemba 19-Septemba 25) 2020-09-25

    1.Ulaya yalaumiwa kwa mateso ya wahamiaji Libya

    2.Waziri wa ulinzi Mali awa rais wa mpito

    3.Marekani kutangaza kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran

    4.Marekani yatishia kuwaandama watakaokaidi vikwazo

    5.Botswana Kuanza Kufundisha Somo La Kiswahili Katika Shule

    6.Serikali ya Uganda tayari imetangaza calenda mpya ya elimu

    7.Virusi vya corona: Mkuu wa afya asifu mapambano ya Afrika dhidi ya Covid-19

    8.Huenda Shule Zifunguliwe Oktoba 19  

     

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Septemba 12-Septemba 18) 2020-09-18
    1.Marais wa Tanzania na Uganda wakubaliana kuharakisha ujenzi wa bomba la mafuta
    2.Zaidi ya wafungwa 200 watoroka jela kaskazini mashariki mwa Uganda
    3.Kenya yafungua anga yake kwa Tanzania wakati maambukizi ya COVID-19 yakiwa yamepungua
    4.Tanzania yasema pendekezo la usalama wa data duniani lasaidia kuhimiza usimamizi na ushirikiano wa usalama wa data duniani
    5.Afrika Kusini yapunguza kiwango cha hatua za vizuizi na kurejesha safari za ndege za kimataifa hatua kwa hatua
    6.Kenya yataka hatua madhubuti zichukuliwe kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi barani Afrika
    7.Balozi wa China aeleza msimamo wa China kuhusu suala la Sudan Kusini
    8.Kampuni ya Huawei yaanzisha programu ya vipaji vya Tehama wakati uhusiano kati ya China na Kenya ukiendelea kuimarika
    9.Tanzania yaruhusu nchi 15 kutuma waangalizi wa kimataifa kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba
    10.Ethiopia imerekodi wakimbizi wa ndani milioni 1.8 katika mwaka huu
    11.Mafuriko makubwa yasababisha watu 217,000 kupoteza makazi nchini Ethiopia
    12.Wanafunzi 10 wafariki katika ajali ya moto uliotokea shuleni kaskazini magharibi mwa Tanzania
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Septemba 5-Septemba 11) 2020-09-11

    1.China yawatunukia watu hodari waliotoa mchango mkubwa katika mapambano dhidi ya COVID-19

    2.Uganda yabadilisha uwanja wa taifa kuwa hopitali saidizi kutokana na ongezeko la maambukizi ya COVID-19

    3.TikTok ya China yawaalika wajasiriamali wa Afrika kujiunga na shindano la kutoa mawazo yao ya biashara

    4.Juhudi za kupambana na virusi vya Corona nchini Kenya zaelekea vijijini

    5.Waziri wa habari wa Zimbabwe apongeza mafanikio ya China katika mapambano dhidi ya janga la COVID-19

    6.Kiwango cha maji cha Mto Nile kitapungua nchini Sudan baada ya mafuriko

    7.UNEP yazindua tathmini juu ya uchafuzi wa hewa na mabadiliko ya tabia nchi barani Afrika

    8.Ripoti ya WWF: Wanyamapori wanapungua kwa kasi kutokana na shughuli za binadamu

    9.Afrika Kusini yamkemea Trump kwa kauli yake ya kumdharau Mandela

    10.Makamu wa Rais Afghanistan ashambuliwa kwa bomu

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Agosti 29-Septemba 4) 2020-09-04
    1.SUDAN: Takribani watu 90 wapoteza maisha kutokana na mafuriko makubwa
    2.WHO: Si kweli, maambukizi ya corona Kenya hayajapungua.
    3.Wizara ya Afya kuchapisha zabuni zote za Corona – Rais Kenyatta
    4.Rais wa Ufaransa awapa onyo viongozi Lebanon
    5.Makubaliano ya kihistoria yaafikiwa baina ya pande hasimu Sudan
    6.Rais wa zamani wa Sudan Omar Al Bashir afikishwa mahakamani.
    7.Mahakama nchini Uganda yamtaka Bobi Wine kujibu tuhuma za kudanganya umri
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Agosti 22-Agosti 28) 2020-08-28
    1.Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesema kuwa anamatumaini janga la corona litakomeshwa ndani ya miaka miwili.
    2.Uingereza kulipa pauni 13 kwa siku kwa watu walio na mapato cha chini
    3.Ujerumani kupiga marufuku matukio makuu kuzuia kuenea kwa corona
    4.Uchumi wa Uhispania tayari umefufuka baada ya mlipuko wa janga la Corona, waziri anasema
    5.Bei ya mkate kuongezeka kutokana na mavuno mabaya ya ngano huku Uingereza
    6.Umoja wa Mataifa watahadharisha juu ya njaa na utapiamlo Afrika Mashariki
    7.Kampuni za ndege za Kenya zazuiwa kuingiza ndege zake Tanzania
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Agosti 15-Agosti 21) 2020-08-21
    1.Afrika CDC yasisitiza nchi za Afrika kupanua upimaji wa virusi vya Corona
    2.Rais wa Mali atangaza kujiuzulu baada ya kukamatwa na wanajeshi waasi
    3.Wanajeshi waasi wa Mali waunda mamlaka ya mpito
    4.Makubaliano ya usalama kati ya Serikali ya Sudan na SPLM kuweka mazingira ya kufikiwa amani ya kudumu
    5.Watu wenye bunduki wawaua wanakijiji 11 kaskazini mwa Nigeria
    6.Mkuu wa UM awahimiza wadau wote nchini Cote d'Ivoire kutatua tofauti zao kupitia mazungumzo
    7.China na Afrika kushirikiana pamoja ili kushinda COVID-19 katika Afrika
    8.Rais Magufuli akabidhi Uenyekiti wa SADC kutoka kwa Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Agosti 8-Agosti 14) 2020-08-14

    1.Jeshi la Somalia lawaua wapiganaji 16 wa al-Shabab kwenye mkoa wa kati

    2.Aliyekuwa Jenerali Uganda kuwania urais nchini humo

    3.Wakenya waandamana ubalozini Beirut

    4.Tanzania yawataka raia kuondoka porini kabla ya kutekeleza uvamizi wa kupambana na wapiganaji wa kiislamu

    5.Uingereza yakumbwa na changamoto ya kudorora kwa uchumi

    6.Zaidi ya watu 80 wauawa Sudana Kusini katika zoezi la kukabidhi silaha

    7.Uchumi wa Marekani washuka kwa zaidi ya asilimia 32

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Agosti 1-Agosti 7) 2020-08-07
    1.Mlipuko wa Beirut: Takriban watu 135 waripotiwa kufariki huku maafisa wa bandari wakiwekwa katika kifungo cha nyumbani Lebanon
    2.Uganda yaanzisha viti maalum vya wazee Bungeni
    3.Kikongwe wa miaka 74 akutwa na mabaki ya mwili wa mumewe uwanja wa ndege
    4.China, WHO kutafuta chanzo cha virusi vya Corona.
    5.WHO: Huenda kusiwe na tiba ya haraka ya ugonjwa wa Covid-19
    6.Papa Benedict wa 16 ana hali mbaya kiafya
    7.Mama aliyetishia kumbaka balozi wa Canada nchini Kenya aachiliwa kwa dhamana
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Julai 25-Julai 31) 2020-07-31

    1.Spika wa Bunge la Marekani Nancy Pelosi ameamuru kuwa wabunge na wafanyakzi wote wa chombo hicho watapaswa kuvaa barakoa katika kipindi chote cha janga la virusi vya corona.

    2.Marekani yatajwa kama taifa lenye watu wengi maskini zaidi duniani, licha ya kuwa na mabilioni

    3.KENYA: Rais Uhuru Kenyatta, apiga marufuku uuzwaji wa Pombe kwenye migahawa kwa siku 30

    4.WHO, Afrika waunda kamati ya kutafiti dawa za kienyeji kwa ajili ya tiba dhidi ya Corona

    5.NHIF kugharimia matibabu ya wagonjwa wa Covid-19 hospitali za serikali

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Julai 18-Julai 24) 2020-07-24

    1.China yalaani Marekani kwa kuitaka kufunga ubalozi wake mdogo mjini Houston

    2. Jumuiya ya Afrika Mashariki yatishia Burundi kuifuta uanachama wa jumuiya

    3. Viongozi wa AU jumanne wiki hii waanza mazungumzo mapya kuhusu bwawa la GERD la Mto Nile

    4. Waziri Mkuu wa Ethiopia apongeza kuanza kujazwa maji kwa bwawa la GERD

    5.Kenya yapokea vifaa ya kupambana na virusi vya Corona kutoka China

    6. Uchaguzi mkuu wa Tanzania kufanyika Oktoba 28

    7.Eneo la Biashara Huria barani Afrika kuleta fursa mpya kwa ushirikiano wa China na Afrika

    8. Ethiopia yarejesha tena huduma za internet baada ya kuwepo kwa utulivu

    9.Nimonia isiyojulikana nchini Kazakhstan huenda inatokana na maabara ya viumbe ya Marekani

    10.Polisi mmoja wa Kenya auawa na wengine watatu kujeruhiwa katika shambulizi lililozuiwa la kundi la al-Shabab

     

     

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Julai 4-Julai 10) 2020-07-10

    1.Corona yalemaza masomo Kenya

    2.Kenya yatoa muongozo mpya wa usafiri kudhibiti maambukizi

    3.Marekani yajiondoa kwenye ushirikiano na WHO

    4.Rais wa Brazil akutwa na Corona

    5.Rais Ouattara amesema kuwa taifa linaomboleza.

    6.Tundu Lissu asema atarejea Tanzania Julai 28

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Juni 27-Julai 3 ) 2020-07-03

    1.Rais Donald Trump ashtakiwa

    2.Kiongozi wa kutetea haki za binadamu Al Sharpton ameapa kuwa maandaano makubwa

    3.Tanzania yasimamisha shughuli katika mpaka wa Namanga

    4.DENI la Kenya sasa limeongezeka kwa asilimia 15 na kufika Sh6.28 trilioni

     

     

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Juni 20-Juni26 ) 2020-06-26
    1.Uchumi wa Dunia kushuka kwa asilimia 4.9 
    2.Tedros: Idadi ya wagonjwa wanaothibitishwa kuambukizwa Corona yakadiriwa kufikia milioni 10 katika wiki ijayo
    3.Tanzania yasisitiza mwito wa kufutwa madeni wakati wa mapambano dhidi ya COVID-19
    4.Kenya yawataka wenye virusi vya COVID-19 kutibiwa nyumbani ili hospitali zisizidiwe uwezo
    5.Rais wa Uganda aonya kurejesha hatua za zuio dhidi ya COVID-19
    6.Nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki zafikiria kuwa na mkakati wa pamoja kuhimiza utalii baada ya COVID-19
    7.Marekani hali tete, Idadi ya maambukizi ya Corona yafikia milioni 9.3 duniani
    8.Caf yamuweka chungu kimoja Mbwana Samatta na mkali wa Chelsea, Didier Drogba
    1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 next
    SearchYYMMDD  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako