• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Oktoba 13-Oktoba 19) 2018-10-19
    1.DRC na Angola zazozaza kuhusu wakimbizi
    2.Rwanda Paul Kagame amwachisha kazi waziri wa ulinzi
    3.Uganda, Rwanda, Burundi na Sudani kusini zimetakiwa kuchukua tahadhari kuhusu ebola
    4.Magaidi 60 nchini Somalia wauwawa kwa mashambulizi ya Marekani
    5.Waziri mkuu wa Ethiopia alaani maandamano ya askari wenye silaha kuwa yamekiuka katiba
    6.Maofisa wa Uturuki wafanya upekuzi kwenye ubalozi wa Saudi Arabia kuhusiana na mwanahabari aliyepotea
    7.Rais wa Kenya kuhudhuria maonesho ya uagizaji wa bidhaa ya China
    8.Tume ya Ukweli Haki na Maridhiano yaanzishwa Gambia
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Oktoba 6-Oktoba 12) 2018-10-12

    1.Watu 56 wafariki kwenye ajali mbaya ya barabarani nchini Kenya

    2.Mwanasiasa wa Rwanda aliyeachiwa ahojiwa kutokana na kusema hukumu dhidi yake ni ya kisiasa

    3.Walimu wawili wauawa katika wilaya ya mpakani nchini Kenya

    4.Cyril Ramaphosa ateua Tito Mboweni kuwa Waziri mpya wa fedha

    5.Uganda yafanya maadhimisho ya miaka 56 ya uhuru

    6.Agnes Reeves Taylor, akana mashitaka yanayomkabili

    7.Rais wa Marekani asema mkutano wa pili kati yake na kiongozi wa Korea Kaskazini utafanyika baada ya uchaguzi mdogo

    8.Wahamiaji 700 waokolewa kwenye Pwani ya Uhispania

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Septemba 30-Oktoba 5) 2018-10-05
    1.Juhudi za kupambana na Ebola DRC zatatizwa na mapigano
    2.Wahamiaji 60 wafa maji Guinea Bissau 3.Waliofariki kutona na Tsunami Indonesia wafikia 1,400
    4.Zimbabwe kutoa chanjo ya kipindupindu kwa watu milioni 1.4
    5.Watu zaidi ya elfu 70 wapoteza makazi kutokana na vurugu za kijamii magharibi mwa Ethiopia
    6.Watu milioni 22.4 wakumbwa na msukosuko mkali wa chakula kwenye Pembe ya Afrika
    7.Zambia yawasimamisha kazi zaidi ya watumishi wa umma 70 kwa upotevu wa pesa
    8.Bunge la Uganda lapiga kura kudumisha kodi ya matumizi ya mitandao ya kijamii
    9.Rais wa Ghana arudi nyumbani kutoka Marekani baada ya kunusurika kwenye ajali ya ndege
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Septemba 22-Septemba 29) 2018-09-28

    1Israel kufungua tena kivuko cha milima ya Golan

    2Maambukizi mapya ya Ebola yasababisha vifo vya watu 100 nchini DRC

    3Kipindpindu chaua zaidi ya watu 67 Niger

    4Wachimba migodi 16 watekwa Nigeria

    5Joseph Kabila aonya nchi za kigeni kungilia katika masuala ya DRC

    6Mtoto wa rais wa zamani wa Angola aanza mgomo wa kula

    7Vifo kutokana ajali ya kuzama kwa kivuko nchini Tanzania vyafikia 218

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Septemba 15-Septemba 21) 2018-09-21
    1.Rais wa Zimbabwe aiapisha tume ya kuchunguza vurugu baada ya uchaguzi
    2.Sudan Kusini yakabiliwa na changamoto katika kutekeleza mpango mpya wa amani
    3.Mafuriko yaua watu 100 Nigeria
    4.Jeshi la Burkina Faso laharibu vituo kadhaa vya makundi ya kigaidi
    5.Korea Kaskazini na Korea Kusini zasaini makubaliano ya Pyongyang
    6.Russia na Uturuki kuanzisha eneo lisilo la kijeshi kwenye mkoa wa Idlib nchini Syria
    7.Mkutano wa 72 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa wafungwa
    8.Mawakili wa Ongwen wawataka Majaji wa ICC kumwachilia huru
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Septemba 1-Septemba 7) 2018-09-07

    1.China yaahidi kutoa zaidi ya dola bilioni 60 kwa Afrika

    2.Jeshi la Somalia lawakamata wapiganaji 32 wa kundi la Al –Shabaab

    3.Kuongezwa kwa kodi kwasababisha uhaba wa mafuta Kenya

    4.Chama cha watengezaji bidhaa nchini Kenya kimeonya kuwa hatua hii itaathiri ajenda kuu nne za rais na wanataka ifutwe

    5.Waziri mkuu wa Uingereza asema hakuna upigaji kura za maoni wa mara ya pili kuhusu Brexit

    6.Zambia yakanusha ripoti za mlipuko wa Ebola mjini Lusaka

    7.Wanajeshi 10 Sudan Kusini wahukumiwa kwa kubaka

    8. Viongozi wa Korea Kusini na Korea Kaskazini kukutana mjini Pyongyang baadaye mwezi huu

    9.Ethiopia yafungua tena Ubalozi wake nchini Eritrea

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Agosti 25-Agosti 31) 2018-08-31
    1. Polisi wa Ethiopia wawakamata maofisa 6 waandamizi wa zamani kutoka sehemu ya mashariki yenye machafuko

    2. Ghasia za ubaguzi zaibuka tena nchini Afrika Kusini

    3. Upinzani Sudan Kusini wakubali kusaini makubaliano ya amani

    4. Zambia kukabiliwa na ongezeko la wakimbizi kutoka DRC

    5. Keshi ya Naibu jaji mkuu wa Kenya yasimamishwa

    6. Rais wa Zimbabwe aunda tume kuchunguza vurugu zilizotokea kwenye uchaguzi mkuu wa Zimbabwe

    7. Urusi kufanya mazoezi makubwa ya kijeshi

    8. Askari watano wa Kenya wauawa kwa mlipuko

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Agosti 18-Agosti 24) 2018-08-24
    1.Rais Xi Jinping wa China akutana na waziri mkuu wa Malaysia
    2.Watu 103 wakamatwa katika maandamano ya kupinga kukamatwa Bobi Wine Uganda
    3.Vikosi vya Usalama nchini Afghanistan vyapigana na kikundi cha wapigananaji waliojificha mjini Kabul
    4.Kofi Annan, aaga dunia akiwa na miaka 80
    5.Idadi ya vifo kutokana na kubomoka kwa daraja Italia yafikia 43
    6.Misri yawasamehe wafungwa 2,376 katika sikukuu ya Idd el Adha
    7.Pande za Sudan Kusini zasisitiza ahadi ya pamoja ya kutekeleza kikamilifu makubaliano ya amani
    8.Utafiti waonesha asilimia 48 waingereza wanaunga mkono kufanyika tena kura ya maoni ya Brexit
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Agosti 11-Agosti 17) 2018-08-17

    1.Serikali ya Sudan Kusini yatarajia kufikia makubaliano ya mwisho ya amani na kundi la waasi

    2.Rais wa Somalia abadilisha maofisa waandamizi wa usalama

    3.Meli ya uokoaji yawasili Malta ikiwa na wahamiaji 141

    4.Iran yasema haitajadili upya makubaliano ya Nyuklia na Marekani

    5.Uganda yakanusha habari kuhusu kutokea kwa homa ya Ebola

    6.Ethiopia yajenga vituo vya matibabu ya dharura kwa ajili ya raia wake wanaorudi kutoka Djibouti

    7.Jonas Savimbi kuzikwa kwa heshima Angola

    8.Boubacar Keïta achaguliwa kwa kura 67.17% Mali

    9.Zaidi ya watu 35 wafariki baada ya daraja kuvunjika Italia

     

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Agosti 4-Agosti 10) 2018-08-10

    1.Emmanuel Ramazani Shadari kuwa kugombea urais kupitia chama tawala DRC

    2.Kiongozi wa juu wa upinzani Zimbabwe akamatwa

    3.Serikali ya Ethiopia yasaini mwafaka wa amani na OLF

    4.Jeshi la Israel laimarisha usalama katika eneo la mpaka kati yake na Gaza

    5.Uturuki kuchukua hatua dhidi ya vikwazo kutoka kwa Marekani

    6.China yatoa msaada wa chakula kwa Afghanistan

    7.Saudi Arabia yasitisha biashara na uwekezaji na Canada

    8.Idadi ya waliofariki kwenye tetemeko la ardhi la Indonesia yafikia 82

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Julai30-Agosti 3) 2018-08-03
    1Emmerson Mnangagwa ashinda uchaguzi Zimbabwe
    2Jean Pierre Bemba arejea nyumbani3Ethiopia yakamata watuhumiwa 108 wa vurugu
    4WHO: Maambukizi mapya ya Ebola yaripotiwa DRC
    5Utoaji wa misaada ya kibinadamu kupitia Sudan kwenda Sudan Kusini kurefushwa kwa miezi sita
    6Jeshi la Syria ladhibiti mji wa mwisho unakaliwa na kundi la IS nchini Syria
    7Idadi ya vifo kutokana na shambulizi la anga la Saudi Arabia nchini Yemen yaongezeka hadi 30
    8Watu 26 wauawa katika mashambulizi mawili Afghanistan
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Julai 21-Julai 27) 2018-07-27
    1.Zaidi ya watu 80 wafariki kutokana na moto Uigiriki
    2.Trump na mwenzake wa Iran Hassan Rouhani wajibizana vikali
    3.Raia waanza kuchukua fomu za uchaguzi DRC
    4.Wapiganaji wa Al Shabab washambulia kambi ya jeshi kusini mwa Somalia
    5.DRC yatangaza kumalizika kwa mlipuko wa Ebola
    6.Bunge la Afrika Kusini lakanusha ripoti kuwa spika wa bunge anakaribia kujiuzulu
    7.Makundi hasimu Sudan Kusini yaafiki kugawana madaraka
    8.Mkutano wa 10 wa BRICS wakamilika Afrika Kusini
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Julai30-Julai 6) 2018-07-06

    1.Macron na Buhari wajadili usalama, utamaduni na maendeleo

    2.Askari wa Gabon kuendelea kubaki Jamhuri ya Afrika ya Kati

    3.Watu 800,000 watoroka vurugu Ethiopia

    4.Rwanda yaadhimisha miaka 24 ya ukombozi

    5.AU yatoa mafunzo kwa polisi wa Somalia

    6.Nchi wanachama 49 wa Umoja wa Afrika wasaini makubaliano ya biashara huria

    7.Warwanda zaidi 80 walioingia Uganda kiharamu wakamatwa

    8.Kamanda wa kundi la Al-Shabaab ajisalimisha baada ya uasi wa miaka 8

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Juni 23-Juni 29) 2018-06-29

    1.Watu 15 wafariki katika moto kwa soko Nairobi

    2. Watu 83 wajeruhiwa kwenye mlipuko Ethiopia

    3.Serikali ya Zimbabwe yatoa ulinzi kwa wagombea wa uchaguzi

    4.Watu watano wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika tukio la ufyatuaji risasi Marekani

    5.Rais wa Syria asema uingiliaji kutoka nchi za nje umesababisha vita nchini Syria

    6.Rais Recep Tayyip Erdogan ashinda Urais Uturuki

    7.Viongozi wa kundi la "Hirak", wahukumiwa Morocco

    8.Umoja wa Ulaya wakubaliana masuala ya wahamiaji

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Juni 16-Juni 23) 2018-06-22

    1.Rais wa China na kiongozi wa Korea Kaskazini wafanya mazungumzo

    2.Rais wa Marekani Donald Trump abadili sera ya kutenganisha familia

    3.Wakimbizi zaidi 32,000 wa Burundi warudi nyumbani kutoka Tanzania

    4.Jeshi la Yemen latwaa udhibiti uwanja wa ndege wa Hodeidah

    5.Watu 34 wauawa kwenye mlipuko wa kujitoa mhanga, na shambulizi la guruneti Nigeria

    6.Mamlaka za Nigeria hazijasema lolote kuhusu tukio hilo.

    7.Pierre Bemba awasili nchini Ubelgiji

    8.Miili ya wahamiaji sita yapatikana, wengine 82 waokolewa pwani ya Libya

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Juni 9-Juni 15) 2018-06-15

    1. Michuano ya Kombe la Dunia yaanza Urusi

    2. Bemba aondoka ICC

    3. Zaidi ya watu 10 wauwawa kwenye shambulizi Nigeria

    4. Rais wa Zimbabwe ajaza fomu za kugombea katika uchaguzi mkuu ujao

    5. Trump akutana na Kim Jong Un

    6. Aliyekuwa rais wa Maldives ahukumiwa kifungo cha miezi 19 gerezani

    7. Mgogoro wa wahamiaji watokota Italia

    8. Bajeti za Afrika mashariki zasomwa

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Juni 2-Juni 8) 2018-06-08

    1. Wavuvi wa Tanzania wakamatwa nchini Kenya

    2. Chama cha soka cha vunjiliwa mbali nchini Ghana kufuatia tuhuma za ufisadi

    3. Mabaki ya ndege ya kampuni ya FlySax iliyopotea yapatikana katika eneo la Aberdares

    4. Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza atangaza kwamba hataomba kuchaguliwa tena baada ya muhula wake wa sasa kumalizika mwaka 2020

    5. Mvutano kati ya ras wa Marekani Donald Trump na wenzake wa G7 kuhusu hatua ya marekani kuongeza ushuru kwa bidhaa zinazotoka nchini humo

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Mei 26-Juni 1) 2018-06-01

    1.Ilikuwa ni wiki yenye vituko vingi hasa nchini Afrika Kusini baada ya raia wa huko kushangazwa ba densi ya 'utupu' ya kundi moja la kwaya ya shule nchini Afrika Kusini ambayo ilivutia hisia za uchunguzi kufanywa kutoka kwa waziri wa elimu nchini humo.

    2.Ilikuwa pia ni wiki ambayo iliwashangaza wengi baada ya shirika la kutetea haki za watoto Save the Children kutoa ripoti inayozitaja nchi za Tanzania, Uganda, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na Rwanda kuwa miongoni mwa nchi 11 ambazo unyanyasaji wa watoto kingono unashuhudiwa kwa zaidi ya asilimia 10 miongoni mwa watoto walio na umri wa miaka 15- 19.

    3.Nchini Kenya nako ufisadi ulionekana kukemewa zaidi na raia siku ya alhamisi ambapo walifanya maandamano makubwa katika miji mikubwa ya nchi hiyo kulaani ufisadi wa mabilioni ya dola katika serikali.

    4.Hatimaye mashabiki wa mshambuliaji wa timu ya Uingereza Liverpool Mohammed Salah wameonyesha furaha yao baada ya kuhakikishiwa kuwa mshambuliaji huyo wa Misri atashiriki katika michuano ya kombe la dunia , akiwakilisha nchi yake ya Misri.

    5.Tukielekea Nchini India tunaangazia taarifa ambayo imewavutia watu wengi duniani inayomhusu afisa mmoja wa Polisi nchini humo ambaye alisifiwa kuwa shujaa baada ya kumsaidia Mwanaume mmoja wa kiislamu aliyekuwa amevamiwa na kundi la watu waliotaka kumuua. Afisa huyo anadaiwa kupokwa ujumbe wa kuuawa.

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Mei 19-Mei 25) 2018-05-25

    1Kenya yavumbua dawa ya Malaria kwa wanawake waja wazito

    2Zaidi ya watu 49 wafariki dunia baada boti kuzama

    3Msichana aliyerhukumiwa kifo Sudan akata rufaa

    4Mwanaume mmoja alishtaki kanisa nchini Uganda kupinga kanuni za utaratibu wa kufunga ndoa

    5Korea Kaskazini yasema iko tayari kukutana na Trump

    6UM wapitisha azimio kulaani njaa kama silaha ya vita

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Mei 5-Mei 11) 2018-05-11

    1Watu 42 wafariki baada ya kuvunja Kenya
    2Kenya yaimarisha doria uwanja wa ndege baada ya ebola kuripotiwa DRC
    3Korea Kaskazini yawaachia huru raia wa Marekani
    4Viongozi wa China, Japan na Korea Kusini watoa taarifa ya pamoja
    5Burundi kusimamisha matangazo ya BBC na VOA
    6Jeshi lakomboa watu 1000 kutoka Boko Haram Nigeria
    7Tanzania yafungua ubalozi Israel

    prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 next
    SearchYYMMDD  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako