• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Januari 28-Februari 3) 2017-02-03
    1.Moussa Faki wa Chad achaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa tume ya AU 
    2.DRC yaikabidhi Burundi watuhumiwa zaidi ya 128 wa uasi
    3.Kiongozi wa upinzani DRC Etienne Tshisekedi, amefariki
    4.Waliofurushwa na Trump Marekani wakwama Ethiopia
    5.Rais wa Tanzania amteua mkuu mpya wa jeshi
    6.Maandamano yakithiri Romania kupinga sheria mpya kuhusu rushwa
    7.Hakuna askari wa Kenya aliyeuawa na wapiganaji wa Al Shabaab walipovamia kambi moja nchini humo
    8.Uchaguzi wa urais nchini Somalia wavutia wagombea 24
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Januari 21-Januari27) 2017-01-27

    1. Rais Adama Barawa awasili Gambia kutoka Senegal baada ya kuapishwa rasmi

    2. China yajiandaa kwa sherehe za mwaka mpya wa kichina

    3. Al shabaab wavamia kambi ya jeshi la Kenya

    4. OPEC kuendelea kupunguza uzalishaji wa mafuta

    5. Watu zaidi ya milioni moja duniani waandamana kupinga Bw Trump kuwa rais wa Marekani

    6. Rais wa Mexico asikitishwa na kulaani amri kuhusu kujengwa kwa ukuta wa mpaka kati nchi yake na Marekani

    7. Usain Bolt apokonywa dhahabu moja ya olimpiki ya Beijing

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Januari 14-Januari20) 2017-01-20
    1.Rais mteule wa Gambia Adama Barrow aapishwa mjini Dakar Senegal
    2.Mlanguzi El Chapo ahamishwa hadi Marekani 
    3.Watu 30 wafariki baada ya theluji kuangukia hoteli Italia
    4.Watu 44 wauawa katika shambulizi la kujitoa mhanga Gao nchini Mali
    5.Jeshi la Uganda lawakamata waasi wa zamani wa DRC
    6.Wazima moto 20 wafariki baada ya jengo, kushika moto na kuporomoka Iran
    7.Makamu wa rais wa Burundi atangaza kuondoa askari wa nchi hiyo kutoka Somalia
    8.Barack Obama awasamehe wafungwa 330
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Januari 7-Januari13) 2017-01-13

    1.Marais wa China na Zimbabwe wakutana

    2.Uturuki na Russia zasaini makubaliano ya uratibu katika operesheni za anga nchini Syria

    3.Maendeleo madogo yapatikana kwenye mchakato wa amani Darfur

    4.Nigeria kumpatia hifadhi rais Yahya Jammeh wa Gambia iwapo atajiuzulu. .

    5.Mohamed Osman Jawari achaguliwa tena kuwa spika wa bunge la Somalia

    6.Obama awaaga Wamarekani kwa hotuba iliyojaa hisia

    7.Ujerumani kupeleka helikopta nane na askari 350 wa ziada nchini Mali

    8.Marekani yathibitisha kufanya shambulizi la anga dhidi ya Al-Shabaab nchini Somalia

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Desemba 31-Januari 6) 2017-01-06
    1.Marekani yapeleka wafungwa wa Guantanamo Bay Saudi Arabia
    2.Sudan na Sudan Kusini zarefusha muda wa makubaliano ya kusafirisha msaada wa kibinadamu
    3.Kiongozi wa waasi nchini Msumbuji atangaza kurefusha muda wa usitishaji vita
    4.Vikosi vya Somalia na Umoja wa Afrika vyatwaa mji mmoja kutoka kwa kundi la Al-Shabaab
    5.Zaidi ya wafungwa 150 watoroka gerezani Ufilipino
    6.Waziri wa mambo ya nje wa China kufanya ziara ya kwanza kwa mwaka huu katika nchi tano za Afrika
    7.Askari wa Israel aliyempiga risasi mshambuliaji wa Palestina akutwa na hatia ya mauaji
    8.Wafungwa 10,000 nchini Ethiopia waachiliwa huru
    9.Mkuu wa jeshi nchini Gambia  Ousman Badjie  amesema
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Disemba 24-30) 2016-12-30
    1.China yataka waziri mkuu wa Japan kutafakari historia ya vita kuu vya pili
    2.Wapiganaji 200 wa kundi la IS wauwawa na jeshi la Iraq
    3.Watu 50 wafariki kwenye mafuriko Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo
    4.Wakimbizi wengi zaidi wa DRC waingia Zambia
    5.Marekani kuwafukuza wanadiplomasia wa Urusi
    6.Kiongozi wa Boko Haram asema Bado kundi lake lipo msitu wa Sambisa
    7.Wabunge wa Somalia waapishwa
    8.Mabaki makubwa ya ndege ya Russia iliyoanguka na miili ya watu vyapatikana
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Disemba 17-23) 2016-12-23
    1-Rais Obama asema kila mmoja ataathirika kama uhusiano kati ya Marekani na China unavunjika
    2-Jeshi la serikali la Syria latangaza kukombolewa kwa mji wa Aleppo
    3-Watu 48 wafariki baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kuanguka Kaskazini mwa Pakistan
    4-Polisi nchini Uturuki yawatambua washukiwa wawili wa milipuko ya mabomu nchini humo
    5-Umoja wa Mataifa wahimiza DRC kupunguza hali ya wasiwasi kuhusu uchaguzi
    6-Askari wa kulinda amani wa China warudi kutokea Sudan Kusini
    7-Mwenyekiti wa kamati ya Umoja wa Afrika atoa wito wa kushirikiana kujenga Afrika yenye ustawi zaidi
    8-Putin na Netanyahu wajadili ushirikiano wa kukabiliana na ugaidi katika Mashariki ya Kati
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Disemba 10-16) 2016-12-16
    1.Marais wa Afrika Magharibi washindwa kumshawishi Yahya Jammeh kukubali kuondoka madarakani
    2.Zika yagunduliwa Tanzania
    3.Jeshi la Nigeria lawaokoa mateka 605
    4.Bunge la Ufaransa larefusha hali ya hatari kote nchini hadi mwezi wa Julai mwakani
    5.Marais wa Afrika Magharibi washindwa kumshawishi Yahya Jammeh kukubali kuondoka madarakani
    6.Misri yatuhumu viongozi wa kundi la Muslim Brotherhood kuhusika na mlipuko uliotokea kanisani
    7.Kikundi cha pili cha waasi waondoka Aleppo
    8.Binti wa Rais wa zamani nchini Msumbiji, auwawa mjini Maputo
    9.Watu watatu wajeruhiwa baada ya gari lililotegwa bomu kulipuka nchini Somalia
    10.Bunge la Ufaransa larefusha hali ya hatari kote nchini hadi mwezi wa Julai mwakani
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Disemba 3-9) 2016-12-09

    1.Wabunge wapiga kura kumfuta rais wa Korea Kusini Park Geun-hye

    2.Vikosi vya Syria vyaesitisha operesheni mashariki mwa Aleppo

    3.Mgomo wa wafanyakazi wa afya Kenya waendelea huku wafanyakazi wengine wakijiunga

    4.Dominic Ongwen afunguliwa mashtaka 70 ICC

    5.Idadi ya watu waliofariki kutokana na tetemeko la ardhi nchini Indonesia yafikia 97

    6.Waziri mkuu wa Italia Renzi awasilisha ombi la kujiuzulu

    7.Watu 48 wafariki baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kuanguka Kaskazini mwa Pakistan

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Novemba 26-Desemba 2) 2016-12-02
    1. Fidel Castro, afariki akiwa na umri wa miaka 90
    2. WHO latoa mwito wa kueneza matumizi binafsi ya vipimo vya Ukimwi
    3. Ngono imekuwa njia kuu zaidi ya maambukizi ya UKIMWI
    4. Korea Kaskazini yasema itachukua hatua madhubuti za kujihami dhidi ya azimio jipya la Umoja wa Mataifa
    5. Trump amteua Jenarali James Mattis kuwa waziri wa ulinzi
    6. Ndege iliokuwa imebeba abiria 81 wakiwemo wachezaji wa Brazil yaanguka
    7. Hollande asema hatagombea urais wa mwaka 2017
    8. Rwanda yafungua uchunguzi dhidi ya maofisa 20 wa Ufaransa kuhusiana na mauaji ya halaiki
    9. UNHCR lawarejesha wakimbizi elfu 35 wa Somalia kutoka Kenya
    10. Morocco yamtuhumu mwenyekiti wa Kamati ya Umoja wa Afrika kwa kuzuia ombi lake la kujiunga tena na Umoja huo
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Novemba 19-Novemba 25) 2016-11-25
    1.Moto mkubwa watishia Israel
    2.Watu 80 wafariki katika shambulizi la Bomu lililowalenga washiha Iraq
    3.Viongozi Colombia watia saini makubaliano ya amani
    4.Trump kutofanya uchunguzi zaidi juu ya suala la barua pepe la Hillary Clinton
    5.Watu elfu 68 wapoteza makazi kutokana na operesheni za kuukomboa Mosul, Iraq
    6.Watu saba wakamatwa kwa kupanga kushambulia vituo vya polisi na mahali pa umma nchini Ufaransa
    7.Uturuki yafuta mswada wa sheria kuhusu ukatili wa kingono dhidi ya wasichana wadogo
    8.Rais wa Zambia afanya mazungumzo na mwenzake wa Sudan Kusini kuhusu suala la usalama
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Novemba 12-Novemba 18) 2016-11-18
    1.Shinzo Abe akutana na Rais mteule wa Marekani Donald Trump
    2.Waziri mkuu mpya atangazwa DRC
    3.IS wauwa watu 15 kwenye harusi Falluja , Iraq
    4.Zaidi ya 73 wafariki baada ya lori kulipuka Msumbiji
    5.Zaidi ya wapiganaji elfu moja, raia wa Chad wamejiondoa katika kundi la Boko Haram
    6.Kenya yarefusha muda wa kufunga kambi ya wakimbizi ya Dadaab kwa miezi sita
    7.Gambia yatangaza kujiondoa kwa mahakama ya uhalifu ya kimataifa ICC
    8.Pombe Magufuli, atia saini sheria ya Huduma za Habari ya mwaka 2016
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Novemba 5-Novemba 11) 2016-11-11
    1.Donald Trump achaguliwa kuwa Rais wa 45 wa Marekani
    2.Watu 45,000 wapoteza makazi kutokana na operesheni za kijeshi kaskazini mwa Iraq
    3.Kenya yaondoa askari wake nchini Sudan Kusini
    4.Rais Jacob Zuma aepuka kura ya kutokuwa na imani naye
    5.Rwanda kuwachunguza maofisa wa Ufaransa wanaotuhumiwa kuhusika na mauaji ya kimbari
    6.Umoja wa Mataifa unasema Kuna upungufu mkubwa wa chakula Aleppo
    7.Kiongozi wa waasi Ntaganda adaiwa kuwafunza mashahidi wake
    8.Raia wa Kenya waachiliwa huru na waasi nchini Sudan Kusini
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Oktoba 29-Novemba 4) 2016-11-04
    1.Kenya kuondoa walinda amani wake Sudan Kusini
    2.Baraza jipya la mawaziri latangazwa Hispania
    3.Kituo cha jeshi la majini la Marekani huko Nagasaki, Japan chafungwa baada ya kuripotiwa ufyatuaji wa risasi
    4.Burudi yatishia kuondoa wanajeshi wake Somalia
    5.Sudan Kusini yawakamata watu 17 waliowabaka wafanyakazi wa kutoa msaada
    6.China yarusha angani roketi kubwa zaidi kuwahi kuundwa
    7.Watu 38 wakamatwa Niger baada ya vifo vya wanakijiji 18
    8.Mamia waandamana kupinga ufisadi Kenya
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Oktoba 22-Oktoba 28) 2016-10-28
    1.Gambia yatangaza kujiondoa ICC
    2.Watu 12 wauawa mjini Mandera kasazini Mashariki mwa Kenya
    3.Ufaransa yakamilisha uhamishaji wa maelfu ya wahamiaji katika kambi za Calais
    4.Rais Maduro wa Venezuela akabiliwa na maandamano ya kumtoa madarakani
    5.Matetemeko mawili ya ardhi yakumba Italia
    6.Umoja wa Mataifa wapitisha uamuzi kwa mara ya 25 kuitaka Marekani iondoe vikwazo dhidi ya Cuba
    7.Afisa wa Ethiopia aasema hali ya dharura inasaidia kutuliza hali nchini humo
    8.UNICEF yasema watoto 145 wameachiliwa huru na makundi yenye silaha nchini Sudan Kusini
    9.Jeshi la Iraq ladhibiti tena mji wa Hamdaniyah wakati vikosi vikielekea Mosul
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Oktoba 15-Oktoba 21) 2016-10-21
    Afrika Kusini yaanza mchakato wa kujiondoa ICC,
    Jeshi la Iraq mbioni kuikomboa Mosul,
    Aliyekuwa Makamu wa DRC Jean-Pierre Bemba akutwa na hatia ya kuhonga mashahidi,
    Russia yatangaza kurefusha mpango wa kusimamisha vita huko Aleppo kwa siku moja,
    Trump asema atakubali matokeo ya kura ya Urais ikiwa atashinda,
    Wanafunzi waendelea kuandama Afrika Kusini,
    Waasi washutumiwa kwa kuvunja makubaliano ya amani Yemen,
    Waziri mkuu wa Uingereza,ahudhuria mkutano wa kwanza wa EU,
    Uganda kurefusha muda wa uwepo wa jeshi lake nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati kuisaidia kupambana na kundi la waasi.
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Oktoba 8-Oktoba 14) 2016-10-14
    1.Scotland kutangaza mswada mpya ya kura za maoni za uhuru
    2.Meli ya kijeshi ya Marekani yarusha makombora dhidi ya vituo vya rada vya kundi la Houthi nchini Yemen
    3.Mfalme wa Thailand Bhumibol Adulyadej afariki
    4.Wasichana 21 wa Chibok waachiliwa Nigeria
    5.Watu 23 wauawa baada ya kambi ya wakimbizi kushambuliwa CAR
    6.Ethiopia yatangaza hali ya hatari
    7.Umoja wa Afrika wafikiria kutoa fidia kwa raia walioathiriwa na operesheni za vikosi vyake nchini Somalia
    8.Kiongozi wa waasi DRC ajisalimisha baada ya miaka 5
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Oktoba 1-Oktoba 7) 2016-10-08
    1.Burudi yachukua uamuzi wa kujiondoa kuwa mwanachama wa ICC
    2.Kibunga chauwa watu 300 Haiti 
    3.Wanajeshi wanaomtii Machar nchini DRC kurudi nyumbani
    4.Antonio Guterres ateuliwa kuchukua wadhfa wa Ban Ki-moon
    5.Jeshi la Syria lakamata kilele cha mlima muhimu huko Aleppo
    6.Kikosi cha usalama cha Afghanistan chamwua kamanda mwandamizi wa kundi la Taliban
    7.Vikosi vya AMISOM vyawaua wapiganaji 7 wa kundi la Al-Shabaab kusini Somalia
    8.Serikali ya Ethiopia yakanusha polisi waliuwa raia kwa risasi
    9.Wananchi wa Colombia wapinga makubaliano ya amani na FARC
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Septemba 24-Septemba 30) 2016-09-30

    1. Mdahalo urais wafanyika Marekani

    2. waziri mkuu na rais wa zamani wa Israel Shimon Peres alifariki dunia

    3. Ajali ya kugongana kwa treni yatokea Marekani

    4.Jeshi la Uganda lasema litachukua hatua kumwokoa askari wake aliyetekwa nyara na wapiganaji wa Al Shabaab

    5.Serikali ya Afghanistan na chama cha Hizb-e-Islami wasaidia makubaliano ya amani

    6.Pendekezo la Namibia latolewa kwenye mkutano wa 17 wa CITES mjini Johannesburg

    7.UNHCR yasema wakimbizi zaidi ya elfu 30 wa Somalia wamerejeshwa kwao kwa hiari

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii ( Septemba 10-Septemba 16) 2016-09-16
    1.Watu 17 wafariki kutokana na tetemeko la ardhi kaskazini mwa Tanzania
    2.Mkutano wa viongozi wa IGAD wafanyika nchini Somalia
    3.Rais Zuma ailipa serikali dola milioni 7.8 za ukarabati uliofanywa kwenye nyumba yake binafsi
    4.Katibu mkuu na mwenyekiti wa Baraza Kuu la UN walaani vikali jaribio la nyuklia la Korea Kaskazini
    5.Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani asema NATO inahitaji kuzungumza na Russia
    6.Zaidi ya waandishi wa habari 95 wauawa katika nchi 25 mwaka huu
    7.China yatoa ripoti kuhusu maendeleo ya ulinzi wa haki za binadamu katika mfumo wa sheria
    8.Naibu waziri mkuu wa China ataka kuongezwa juhudi ili kuendeleza Ukanda Mmoja na Njia Moja
    9.China imefanikiwa kurusha maabara ya anga za juu ya Tiangong-2
    prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10
    SearchYYMMDD  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako