• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (August 10-August17) 2019-08-16

    1Baraza la Mpito la Kijeshi la Sudan lasema jeshi litalinda mpito wa kidemokrasia

    2Urais wa Tunisi wavutia wagombea 26

    3Dawa mpya za Ebola zaonesha ufanisi wa asilimia 90 nchini DRC

    4Ndege zisizo na rubani za Uturuki zaanza kazi kaskazini mwa Syria wakati maandalizi ya eneo salama yanaendelea

    5Vurugu zilizotokea katika uwanja wa ndege wa Hong Kong zalainiwa

    6Waliofariki ajali ya mlipuko wa lori la mafuta Tanzania yafikia 82

    7Burundi yazindua kampeni ya chanjo ya Ebola kwa wahudumu wa afya

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (August 3-August 9) 2019-08-09

    1.Uhusiano wa India na Pakistani wadorora kuhusu eneo la Kashmir

    2. Serikali mpya ya DRC kutangazwa kabla ya Agosti 15

    3.  Somalia yazindua kampeni ya elimu kuhusu mtu mmoja kura moja katika uchaguzi wa mwaka 2020/21

    4. Zambia yaimarisha upimaji wa Ebola kwenye kituo muhimu cha mpaka wake na DRC

    5.Ajali ya boti yasababisha vifo vya watu 11 katikati mwa DRC

    6.Waziri wa Ulinzi nchini Tunisia, Abdelkarim Zbidi wasilisha maombi ya kuwania urais

    7.China yasema pande mbalimbali za Syria zinatakiwa kumaliza tofauti ili kupata suluhisho la kisiasa

    8.Waasi wa kundi la Houthi la Yemen wasema wamefanya shambulizi dhidi ya mnara wa kuongoza ndege nchini Saudi Arabia

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (July 27-August2) 2019-08-02

    1Hoteli ya DusitD2 yafunguliwa baada ya zaidi ya miezi sita

    2Waziri mkuu mpya wa Uingereza ateua baraza lake la mawaziri

    3BokoHaram lasababisha vifo vya raia elfu 27

    4Saudi Arabia yawaruhusu wanawake kusafiri bila uangalizi

    5Serikali na upinzani wasaini makubaliano ya amani Msumbiji

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (July 20-July 26) 2019-07-26
    1.Korea Kaskazini yatoa onyo kwa Korea Kusini kwamba ni vigumu kujilinda dhidi ya kombora lake jipya
    2.Hugo Santillan: Bondia wa Argentina afariki kufuatia majeraha aliyopata katika pigano
    3.Idadi kubwa ya Waganda wahamia India
    4.Rais wa Tanzania John Magufuli asafiri kwa Treni kwenda Rufiji
    5.Rapper wa Marekani Jay Z adaiwa kuwa na asili ya Rwanda
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (July 13-July 19) 2019-07-19
    1.Marekani yatungua ndege isiyokuwa na Rubani ya Iran
    2.Tanzania yakosoa makadirio ya benki ya dunia ya ukuaji wa uchumi wake
    3.Mahakama kuu yadumisha adhabu ya kifo Tanzania
    4.Jaguar azuru Tanzania
    5.Baraza la kijeshi la Sudan na wapinzani wafikia makubaliano ya kisiasa
    6.Balozi wa Uingereza nchini Marekani ajiuzulu kutokana na mgogoro uliotokana na kuvuja kwa ujumbe wa kumpinga rais wa Marekani
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (July 6-July 12) 2019-07-12
    1.Wakimbizi wa Burundi Tanzania wasema 'wametishiwa kurudishwa nyumbani'
    2.Utawala wa kijeshi wazima jaribio la mapinduzi Sudan
    3.Mwanamke aishi na maiti ya mamake nyumbani tangu 2016
    4.Serikali ya kenya yaondoa vibali ya makampuni ya kubeti
    5.Nicki Minaj ajitoa kwenye tamasha Saudi Arabia baada ya kukosolewa
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (June 29-July 5) 2019-07-05
    1.Somalia yasimamisha uhusiano wa kibalozi kati yake na Guinea kufuatia suala la Somaliland
    2.Viongozi wa jeshi na upinzani Sudan wakubaliana kuundwa kwa serikali ya mpito
    3.Maambukizi ya homa ya dengue yapungua nchini Tanzania
    4.Waziri mkuu wa China akutana na mwenyekiti mteule wa Baraza kuu la 74 la Umoja wa Mataifa
    5.Boeing yaahidi kutoa dola milioni 100 kusaidia familia za wahanga wa ajali za ndege nchini Indonesia na Ethiopia
    6.Kenya na Sudan Kusini zakubaliana kutuliza jamii za eneo la mpakani ili kuimarisha amani ya kikanda
    7.Hong Kong yaendelea kulaani vitendo vya kimabavu dhidi ya jengo la bunge
    8.Watu 40 wauawa katika shambulizi la anga dhidi ya kituo cha wahamiaji cha Libya
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (June 14-June 21) 2019-06-29
    1Mohammed Morsi afariki akiwa mahakamani
    2Balozi wa China nchini Marekani asema China na Marekani zinapaswa kuweka mkakati sahihi juu ya uhusiano kati yao
    3Watu 38 wauwawa nchini Mali
    4Uganda kutoa chanjo ya ebola
    5Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania watoa taarifa ya kiusalama
    6Washtakiwa watatu wapatikana na hatia ya kupanga shambulizi la kigaidi Chuo Kikuu cha Garissa
    7Iran imesema imetungua ndege isiyo na rubani ya Marekani
    8Rais Donald Trump azindua kampeni yake ya urais kwa awamu ya pili mfululizo
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Juni 22-Juni 28) 2019-06-28

    1.Mkuu wa jeshi wa Ethiopia auwawa

    2.Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa laongeza vikwazo dhidi ya DRC

    3.Rwanda yapokea faru weusi watano walio hatarini kutoweka

    4.Somalia yaangazia uchaguzi wa amani licha ya changamoto za kisiasa

    5.Miili 12 yapatikana kwenye mlipuko wa bomba la mafuta nchini Nigeria

    6.Boeing chapa 737 max bado ina matatizo yasema FAA

    7.Marekani yaweka vikwazo vikali zaidi dhidi ya Iran

     

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Juni 8-Juni 14) 2019-06-14
    1Mtu wa pili afariki kwa ugonjwa wa Ebola nchini Uganda
    2DRC yaitaka Uganda kudhibiti safari za kuvuka mpaka wa nchi hizo kukabiliana na Ebola
    3Tanzania yajiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika baadaye mwaka huu
    4Wabunge wapinga wamekataa pendekezo la chama cha Labour kujitoa EU
    5Kenya Uganda na Tanzania zasoma bajeti ya 2019/20
    6Ethiopia yasema pande mbili za Sudan zimekubali kushikilia makubaliano ya awali
    7Umoja wa Afrika kukabidhi kambi ya jeshi kwa majeshi ya Somalia
    8China yalalamikia kauli yenye makosa ya Umoja wa Ulaya kuhusu Hongkong kufanya marekebisho ya sheria
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Juni 1-Juni 7) 2019-06-07
    1.Zimbabwe yaanza mazungumzo na mataifa ya EU kuiondolea vikwazo
    2.Magaidi 6 wa kundi la IS wauawa katika shambulizi la anga la Marekani nchini Somalia
    3.Burundi yatishia kusitisha uhusiano na mjumbe wa umoja wa Mataifa
    4.IGAD yazitaka pande husika za Sudan kujizuia
    5.Umoja wa Mataifa watenga dola za kimarekani milioni 45 kuepuka hatari ya njaa katika Pembe ya Afrika
    6.Bw. Guterres asema Umoja wa Mataifa utaishiwa fedha mwezi Agosti mwaka huu
    7.Ebola yaathiri watu 2,000 DRC
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Mei 25-Mei 31) 2019-05-31

    1.Rais wa Afrika Kusini atangaza baraza dogo la mawaziri

    2.Utekelezaji wa mkataba wa soko huria la Afrika waanza

    3.Utekelezaji wa mkataba wa soko huria la Afrika waanza

    4.China yalaani Marekani kwa kuiwekea Huawei vikwazo bila ya shahidi

    5.Ethiopia yarudisha wakimbizi milioni 1.2 wa ndani

    6.Jeshi la Nigeria layalaumu mashirika ya kibinadamu kwa kulisaidia kundi la Boko Haram

    7.Rais wa Nigeria aapishwa kwa muhula wa pili

    8.Baraza la mpito la kijeshi la Sudan lasema, kuna uwezekano wa nchi hiyo kufanya uchaguzi mapema

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Mei 11-Mei 17) 2019-05-17
    1.Daktari achunguzwa kwa kuwapa sumu watu 17 Ufaransa
    2.Genge la uhalifu wa mtandao duniani lavunjwa
    3.Boeing yaboresha mfumo wa ndege 737 Max
    4.Tajiri wa Tanzania amkana mtoto wake kwa usimamizi mbaya wa mali
    5.Zaidi ya watalii 200 kutoka China wapiga jeki sekta ya utalii Tanzania
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Mei 4-Mei 10) 2019-05-10
    1.Watu 50 wafariki baada ya lori la mafuta kulipuka Niamey
    2.Sudan Kusini yakanusha kutuma jeshi kuzuia maandamano barabarani
    3.Serikali ya Ethiopia yasema imewarejesha nyumbani wakimbizi wa ndani 875,000
    4.Somalia kuandikisha polisi 400 ili kulinda usalama wa barabara kuu
    5.Wakenya zaidi ya 11 wauawa kwenye mapigano karibu na mpaka kati ya Kenya na Ethiopia
    6.Waziri wa mambo ya nje wa Marekani afanya ziara ya ghafla mjini Baghdad
    7.Kikundi cha mawasiliano ya kimataifa cha suala la Venezuela chahimiza kutatua mgogoro wa nchi hiyo kwa njia ya amani
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Aprili 27-Mei 3) 2019-05-03

    1.Kimbunga Kenneth chasababisha vifo vya watu 41 nchini Musumbiji

    2.Umoja wa Mataifa waonesha wasiwasi juu ya kuongezeka kwa ukosefu wa usalama wa chakula nchini Somalia

    3. Wachimba madini 1,800 waliokwama mgodini Afrika Kusini waokolewa

    4.Kundi la Boko Haram lawaua wanavijiji wasiopungua 23 Nigeria

    5.Rais Magufuli asema hakuna uhasama kati ya Tanzania na Malawi

    6.Umoja wa Afrika watishia kuchukulia hatua jeshi la Sudani

    7.Boeing yateua mshauri mkuu wa sheria kushughulikia kesi za 737 MAX

    8.Trump atangaza nia ya kuwateua mabalozi nchini Colombia na Umoja wa Afrika

    9.Polisi watatu wajeruhiwa na mamia ya watu kukamatwa kwenye vurugu zilizotokea katika sherehe ya Mei Mosi Ufaransa

    10.Ebola bado inasambaa DRC

     

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Aprili 22-Aprili 26) 2019-04-26

    1Viongozi wa kijeshi wajiuzulu Sudan
    3Viongozi wa China na Kenya wahimiza ushirikiano wa kujenga kwa pamoja "Ukanda Mmoja, Njia Moja" kupata mafanikio makubwa
    4Waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano wa Tanzania aishukuru China kwa kuandaa mkutano kujadili viwango vya ujenzi wa miundo mbinu.
    5Zaidi ya watu 300 wauawa katika shambulio la Makanisa Sri Lanka

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Aprili 13-Aprili 19) 2019-04-19
    1.Waandamanaji Sudan washinikiza kubuniwe utawala wa kiraia
    2.Nusrat Jahan Rafi: Achomwa hadi kufa kwa kuripoti unyanyasaji wa kingono
    3.Museveni kugombea tena Urais
    4.China na Umoja wa Ulaya zaahidi kuhimiza mazungumzo ya makubaliano ya uwekezaji
    5.Watu 150 wahofiwa kufariki baada ya boti kuzama ziwa Kivu
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Aprili 6-Aprili 12) 2019-04-12

    1.Rais wa Zimbabwe atoa wito wa misaada zaidi kwa watu walioathiriwa na kimbunga Idai

    2.Ethiopia kusaidia wakimbizi wa ndani milioni 2 wanaokabiliwa na uhaba wa chakula

    3.Mjumbe wa China atoa wito wa ufumbuzi wa kisiasa wa msukosuko wa Venezuela

    4.Magavana wa Kabila watwaa ushindi mkubwa

    5.Chama kikuu cha upinzani chakiri kushindwa katika uchaguzi wa Israel

    6.Rwanda yaadhimisha miaka 25 tangu kutekelezwa mauaji ya kimbari mwaka 1994

    7.Waziri wa usalama wa Marekani Kirstjen Nielsen ajiuzulu

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (March 30-Aprili 5) 2019-04-05

    1. Kikosi cha uokoaji cha China chamaliza kazi nchini Msumbiji

    2. Zambia yamaliza zamu yake ya Uenyekiti wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika

    3. Malawi yaanza kurejesha raia wanaotaka kurudi nyumbani baada ya mashambulizi dhidi ya wageni nchini Afrika Kusini

    4. Rais wa Algeria, Abdelaziz Bouteflika ajiuzulu

    5. Serikali ya Somalia yaahidi kukomboa sehemu zinazodhibitiwa na kundi la al-Shabaab

    6. Waziri Mkuu wa Uingereza asema kuna haja ya kurefusha zaidi kifungu cha 50

    7. Juan Guaido asema ataendelea na kampeni za kumuondoa Maduro

    8.Wapalestina waandamana karibu na mpaka wa Israel

     

    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (March 23-March 29) 2019-03-29
    1Kampuni ya Boeing yashtakiwa kwa ajali ya Shirika la Ndege la Ethiopia
    2Papa Francis asema kuzuia watu kubusu pete yake ni suala la kiafya na si vinginevyo
    3Maandamano yakumba mpaka wa Kenya na Tanzania
    4MCT, asasi nyingine zashinda kesi dhidi ya sheria ya huduma za habari ya mwaka 2016 dhidi ya serikali
    5Mwanamke anayedaiwa kuwa na mifuko miwili ya uzazi, ajifungua mapacha mwezi mmoja baada ya kujifungua mtoto wa kwanza
    prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 next
    SearchYYMMDD  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako