Wafanyakazi wa Idhaa ya Kiswahili ya CRI
China Radio International
China
Dunia

Yibin, Mji wa kwanza kwenye eneo la mtiririko wa mto Changjiang 2008/11/17
Huenda bado mnakumbuka Sinema iitwayo "Corouching Tiger, Hidden Dragon", ambayo iliteuliwa kuwa ni sinema nzuri kabisa ya sinema za lugha za kigeni mwaka 2001 na kupewa tuzo ya Academy. Katika sinema hiyo "mapigano kwenye msitu wa mianzi" ni Sehemu inayopendeza zaidi. Mabingwa wawili wa kike na kiume wenye Wushu wa kiwango cha juu walipigana kwenye msitu huo wa mianzi, na kuonesha vilivyo sifa za Wushu wa China. Msitu wa mianzi unaoonekana kwenye sinema hiyo ni msitu wa mianzi wa Shunan ulioko kusini mashariki mwa mji wa Yibin, mkoani Sichuan, ambao unasifiwa kama moja kati ya misitu mizuri kabisa ya nchini China.
Kutembelea sehemu za peponi  2008/10/20
Wasikilizaji wapendwa, sasa tunawaletea makala ya kwanza ya Mashindano ya chemsha bongo kuhusu ujuzi wa Vivutio vya Sichuan". Kabla ya kusoma makala hii tunatoa maswali mawili: 1, Bonde la Jiuzhaigou lilipata jina hilo kutokana na kuwepo kwa vijiji 9 vya watu wa kabila la watibet ndani ya sehemu hiyo au la? 2. Je, Bonde la Jiuzhaigou na Sehemu ya vivutio ya Huanglong zote zimeorodheshwa kuwa mali ya urithi wa mazingira ya asili duniani ? Tafadhali sikilizeni kwa makini makala tunayowasomea ili muweze kupata majibu.
Vyakula vitamu vya Kiislamu katika mtaa wa Niujie mjini Beijing 2008/10/06
Vyakula vya Kibeijing viko vya aina nyingi, na miongoni mwa vyakula hivyo, vingi ni vya Kiislamu. Vyakula vya Kiislamu vya aina nyingi vinapikwa kwa nyama ya ng'ombe au mbuzi. Katika mtaa wa Niujie mjini Beijing wanakoishi Waislamu wengi, vyakula vya Kiislamu vinajulikana zaidi.
Msitu wa mawe nchini China  2008/07/28
Sehemu yenye mandhari ya msitu wa mawe mkoani Yunnan, kusini magharibi mwa China ni sehemu ya utalii ya mjini Kunming toka miaka mingi iliyopita, sehemu hiyo inajulikana sana duniani kwa kuwa na mawe mengi makubwa ya chokaa yenye maumbo ya ajabu yanayojitokeza kwenye ardhi.
Zaidi>>
Sanxingdui yenye vitu vingi vya ajabu  2008/10/27
Kabla ya kusoma makala hiyo, tunatoa maswali mawili: 1. Sanxingdui ilistawi kwa miaka mingapi? 2. Miongoni mwa vitu vingi vilivyofukuliwa kwenye mabaki ya Sanxingdui, ni vitu vya aina gani, ambavyo vinaweza kuonesha kiwango cha ufundi wa wakati ule, je, ni vitu vya jade au ni vya shaba nyeusi? Tafadhali sikilizeni kwa makini makala tunayowasomea ili muweze kupata majibu
Mandhari ya ajabu ya Mlima Tianmen 2008/10/13
Sehemu ya Zhangjiajie iliyopo mkoani Hunan, katikati ya China, inajulikana kwa mandhari yake ya majabali mengi yaliyochongoka kama msitu, na katika sehemu hiyo upande wa kusini kuna kivutio kinachovutia watalii kutokana na tundu moja kubwa lililopo kwenye kilele cha Mlima Tianmen.
Ziwa Houhai ni mahali pazuri pa mapumziko 2008/09/22
Kama utafika Beijing, Ziwa Houhai ni mahali ambapo usikose kupatembelea. Sehemu hiyo ni sehemu ya makazi inayostawi sana mjini Beijing. Ingawa sehemu hiyo ni yenye shughuli nyingi, lakini watu wanaweza kupata mahali pasipo na kelele, huko ni makazi ya jadi ya wenyeji wa Beijing, ambayo mambo ya kisasa yameungana na mambo ya jadi.
Hekalu la Tathagata la mkoa wa Tibet  2008/07/21
China ni nchi yenye aina nyingi za dini zikiwa ni pamoja na dini za Kidao, Kibudha, Kiislam na Kikristo, hivyo kuna majengo mengi ya kidini kwenye sehemu mbalimbali za China. Majengo ya kila aina ya dini yana umaalumu wake, pamoja na mambo mengi ya kiutamaduni na kihistoria. Katika kipindi hiki cha leo, tutawaelezea hekalu la kale la Tathagata, ambalo ni hekalu la dini ya kibuddha. Tathagata ni sauti ya matamshi ya maneno ya lugha ya Kitibet
Ziwa Xihu pamoja na chai ya Longjing  2008/06/30
Ziwa Xihu la mji wa Hangzhou linajulikana sana duniani, watu hulihusisha ziwa hilo pamoja na ziwa Geneva la Uswisi, na kuyasema kama ni lulu mbili zinazong'ara duniani. Katika kipindi hiki cha leo tutawafahamisha kuhsu Ziwa Xihu na chai ya Longjing.
Xinyang yenye mandhari nzuri ya milima na mito 2008/06/16
Mji wa Xinyang mkoani Henan uko kwenye sehemu ya kati ya China, watu wanasema sehemu hiyo ni kaskazini mwa nchi ya kusini, na ni kusini mwa nchi ya kaskazini, Xinyang ni mahali penye mandhari nzuri ya milima na mito
Sehemu iliyosifiwa kuwa ni Beijing ndogo iliyoko kwenye sehemu ya mpaka wa kaskazini mwa China 2008/06/02
Beijing ni mji mkuu wa China, katika mji huu kuna mabaki mengi ya kihistoria na kiutamaduni ukiwemo ukuta mkuu na kasri la kifalme, ambavyo ni maarufu sana duniani. Kwenye mkoa unaojiendesha wa Mongolia ya ndani, ambao uko kwenye sehemu ya kaskazini magharibi mwa China
Twende kuwaangalia korongo katika majira ya baridi 2008/05/12
Kwenye mkoa wa Guizhou, kusini magharibi mwa China kuna ardhi oevu iliyoko kwenye uwanda wa juu, wakazi wa huko wanaiita "bahari ya majani". Kila ikifika siku za baridi, ndege zaidi ya laki moja hufika huko kutoka sehemu ya kaskazini ili kukwepa baridi kali ya maskani yao.
Zaidi>>

Not Found!(404)