• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Tamasha la tano la filamu la kimataifa la Beijing lafanyika kwa mafanikio
  •  2015-05-11

    Tamasha hili la filamu la kimataifa la Beijing ni la awamu ya tano. Katika miaka mitano iliyopita toka lianzishwe, tamasha hilo limepevuka na kuimarisha nafasi yake kama soko la kwanza la filamu barani Asia, na limekuwa jukwaa muhimu la mawasiliano kati ya wadau wa setka za filamu za China na za nchi za nje.
  • China yapiga hatua kubwa katika sekta ya urithi wa dunia tangu ijiunge na makubaliano ya urithi wa dunia miaka 30 iliyopita
  •  2015-04-27

    Jumamosi iliyopita ilikuwa ni siku ya kimataifa ya mabaki ya kale, na mwaka huu iumetimia miaka 30 tangu China ikujiungea na makubaliano ya uritdhi wa dunia, kwa hiyo katika kipindi hiki, tutazungumzia kuhusu kazi ya kuhifadhi urithi wa dunia hapa China na vilevile barani Afrika, haswa nchini Kenya.
  • Tamasha la tiara la kimataifa lafanyika Beijing
  •  2015-04-16

    Baada ya majira ya baridi kumalizika, China kwa sasa imeingia katika majira ya mchipuko, ambayo ni mazuri kwa watu kutoka nje na kuwa katika mazingira ya kijani huku wakijiburudisha na tiara. Katika kipindi cha leo, tutazungumzia Tiara na historia yake.
  • Ngoma ya Djembe yavutia mashabiki wengi China
  •  2015-02-12

    Katika kipindi cha leo, tutazungumzia ngoma za kiafrika nchini China. kama tunavyojua, katika lugha yetu ya Kiswahili ngoma ina maana mbili, moja ni ala ya kupiga, nyingine ni maonesho ya usanii, na zote hizo mbili zimependwa sana na watu wa China na kuvutia mashabiki wengi.
  • Katuni ya kwanza iliotiwa sauti ya Kiswahili yaanza kuonyeshwa Afrika mashariki
  •  2015-01-23

    Kwa muda mrefu watazamaji wa vibonzo ama katuni Afrika mashariki wamezoea kuona katuni za kiingeeza, lakini siku hizi vibonzo vya Kiswahili vimeanza kupenya kwenye runinga. Hivi karibuni kampuni ya kutoa huduma za televisheni ya Startimes iliweka sauti ya Kiswahili katuni moja kwa ajili ya channeli yake ya Kiswahili na inalenga watazamaji wa Afrika mashariki. Katuni hiyo inayoitwa Poppycat ina zaidi ya wahusika 7 na inahusu hali ya kawaida ya michezo ya watoto kucheza jamii.

  • Karamu na mikutano inaleta mshikamo miongoni mwa wanafunzi waafrika mjini Beijing
  •  2015-01-15

    Kila mwaka serikali ya China inatoa msaada wa masomo kwa mamia ya wanafunzi wa Afrika kuja kusomea China. Hii inamaanisha wengi wao watakaa mbali na nyumbani ama familia kwa muda mrefu. Lakini ili kujiweka katika hali ya jamii baadhi yao wanaunda vikundi na kuandaa mikutano mara kwa mara na kubadilishana mawazo kuhusu masomo na hali ya maisha.

  • Siangaliii jinsia yangu ninapocheza muziki; asema DJ wa kike kutoka Afrika mjini Beijing China
  •  2014-12-10

    Kazi ya DJ mara nyingi inachukuliwa kuwa ya wanaume. Lakini aghalabu kwenye karne hii ya 21 wanawake wameanza kuonyesha ubabe wao kwenye kazi hiyo ya burudani.
  • Lugha ilikuwa ni changamoto lakini Jeffrey anajitahidi kuwa stadi na kusaidia kuondoa gugu maji kwenye ziwa Victoria.
  •  2014-12-09

    Kila mwaka wanafunzi wengi wa Afrika wanapata msaada wa masomo kujiunga na vyuo mbali mbali nchini China. Lakini katika kipindi cha miezi michache ya kwanza wanakabiliwa na changamoto ya kujumuika kwenye utamaduni na desturi za watu wa China.

  • Ndoa kati ya wachina na waafrika imekuwa ni sehemu ya kubadilishana utamaduni
  •  2014-11-13

    Huku ushirikiano wa kibiashara kati ya Afrika na China ukiendelea kuongezeka, maingiliano na mawasiliano ya utamaduni kati ya watu wa pande zote mbili pia unakua siku hadi siku. Ndoa ni aina mojawapo ya mifano ya kuonyesha jinsi wachina na waafrika wanatangamana.

  • Ziara ya wastadi wa Kongfu China yafungua zaidi ufahamu wao kuhusu mchezo huo.
  •  2014-11-06

    Nchini Tanzania kuna zaidi ya vikundi 40 vya ustadi wa Kungfu. Lakini sio wote ambao wanafahamu vyema historia ya sanaa hiyo ya China kwani hawajahi kwenda nchini China.

    prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 next
    SearchYYMMDD  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako