• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • KICKBOXING: Mashindano ya kickboxing ya vijana kuanza nchini Tanzania 2020-05-18
    Mcheza Kickboxing maarufu nchini Tanzania, Japhat Kaseba amesema kuwa, ana mpango wa kuandaa mashindano ya vijana ya mchezo huo, ambayo yatafanyika baada ya tamko la Serikali la kuruhusu mikusanyiko ya watu, ikiwamo michezo.
    • KASHFA: Lacazette aingia matatani kwa kuvuta gesi ya Nitrous Oxide 2020-05-18
    • SOKA: Mshambuliaji Harry Kane adhamini jezi za kikosi cha Leyton Orient msimu ujao 2020-05-15
    Nahodha wa timu ya taifa ya Uingereza na klabu ya Tottenham Hotspur, Harry Kane, amedhamini jezi za kikosi chake cha zamani cha Leyton Orient kwa minajili ya kampeni za msimu ujao.
    • SHAMBULIZI: Kiungo wa Tottenham, Dele Alli avamiwa na wezi nyumbani kwake 2020-05-15
    • SOKA: Lionel Messi atoa mchango wa pound laki 5 kusaidia katika vita dhidi COVID-19 2020-05-14
    Staa wa Barcelona Lionel Messi kwa mara nyingine tena ameonyesha ukarimu wake baada ya kutoa mchango wa pound laki 5 kusaidia katika vita dhidi ya virusi vya corona nchini Argentina.
    • RIADHA: Mo Farah awatahadharisha washindani wake mbio za mita 10,000 Olimpiki ya Tokyo 2020-05-14
    • SOKA: Nyota wa Spurs akashifu mipango ya kuanza tena kwa EPL kabla ya virusi vya Corona kudhibitiwa kabisa duniani 2020-05-13
    Beki Danny Rose wa Tottenham Hotspur amekashifu na kupinga vikali mipango ya vinara wa soka nchini Uingereza kuanza tena kivumbi cha Ligi Kuu ya taifa hilo kabla ya virusi vya homa kali ya corona kudhibitiwa kote duniani.
    • SOKA: Chinedu Obasi atoa tuhuma nzito za rushwa kwa Taifa lake la Nigeria 2020-05-13
    • SOKA: Klabu za EPL kulipa mabilioni kwa waushaji wa mechi zao redioni na katika runinga 2020-05-12
    Klabu za Ligi Kuu ya Uingereza zinatarajiwa kulipa jumla ya sawa na Sh za Kenya bilioni 47 kwa kampuni zitakazorusha mechi zao za kitaifa na kimataifa hata kama michuano tisa iliyosalia msimu huu itachezwa bila mashabiki.
    • TANZIA: Kiungo wa Atalanta ya Italia Andrea Rinaldi afariki dunia kwa tatizo la ubongo 2020-05-12
    • SOKA: Arsene Wenger amtaja mrithi wa Messi na Ronaldo 2020-05-11
    Kocha wa zamani wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger amesema kuwa Kylian Mbappe ndiye mchezaji pekee ambaye anaamini kwa upande wake anaweza kuja kuchukua nafasi ya miamba hii miwili ya soka duniani Lionel Messi na Cristiano Ronaldo.
    • SOKA: Dili la Aubameyang kwa Madrid litalazimika kusubiri kwanza 2020-05-11
    • RIADHA: Haile Gebrselassie ashauri adhabu ya kifungo jela kwa wanamichezo duniani wanaotumia dawa za kusisimua misuli 2020-05-08
    • NDONDI: Mike "Iron" Tyson kurudi tena ulingoni 2020-05-07
    • SOKA: Hatma ya Ligi Kuu Rwanda kujulikana wiki hii 2020-05-06
    Shirikisho la Soka Rwanda limesema kuwa uamuzi wa hatma ya msimu wa Ligi Kuu ya Rwanda 2019/20 utajulikana wiki hii.
    • SOKA: Solomon Kalou aiomba radhi klabu yake ya Hertha Berlin baada ya kanuni ya kuepuka mikusanyiko 2020-05-06
    • SOKA: Rais Magufuli afikiria kurejesha ligi kuu Tanzania Bara 2020-05-04
    • SOKA: Beki wa Tunisia ahukumiwa kwenda jela 2020-05-01
    Beki wa zamani wa club ya Zamalek ya Misri Hamdi Nagguez, 27, amehukumiwa kifungo cha miezi minne jela kwa kosa la kumtolea hadharani lugha ya matusi afisa wa umma wa wizara ya mambo ya ndani ya Tunisia.
    • SOKA: PSG na Gor Mahia zatawazwa mabingwa wa msimu wa 2019/20 2020-05-01
    Shirikisho la soka Ufaransa (LFP) limetangaza rasmi kuwa klabu ya Paris Saint Germain ya Ufaransa kuwa ndio Mabingwa wa Ligi Kuu nchini humo (Ligie 1) 2019/20.
    • SOKA: Balotelli aeleza sababu za kuikataa Juventus 2013 2020-04-30
    Mshambuliaji wa zamani wa Man City Mario Balotelli ameweka wazi kuwa alikuwa mbioni kujiunga na club ya Juventus ya Italia akitokea Manchester City kabla ya kubadilisha mawazo.
    prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 next
    SearchYYMMDD  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako