• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • USAJILI: David Beckham amtaka Diego Costa ajiunge na timu yake ya Inter Miami 2020-04-30
    David Beckham anataka straika wa zamani wa Chelsea, Diego Costa ajiunge na timu yake ya Inter Miami. Inter Miami, msimu huu imecheza mechi mbili kabla ya Ligi Kuu ya Marekani (MLS) haijasimamishwa kutokana na janga la corona.
    • SOKA: Beckham ataka Sanchez akakipige Inter Miami 2020-04-29
    Mmiliki wa Klabu ya Inter Miami, David Beckham anafikiria mpango wa kumsajili Alexis Sanchez kutoka Manchester United. Sanchez amecheza msimu huu kwa mkopo Inter Milan, lakini miamba hiyo ya Serie A haina mpango wa kumchukua jumla, na ameishia kucheza mechi tisa tu za Ligi na anasumbuliwa na majeruhi.
    • SAKATA: Ronaldinho ahojiwa kwa mara ya kwanza toka aachiwe kwa dhamana, asema hakujua kama paspoti yake ni feki 2020-04-29
    Nyota wa zamani wa FC Barcelona na AC Milan Ronaldinho amefanya mahojiano kwa mara ya kwanza toka akamatwe nchini Paraguay kwa tuhuma ya kukutwa na passport bandia.
    • SOKA: Ndidi hana mpango wa kuchomoka Leicester 2020-04-29
    • MASUMBWI: Bondia Floyd Mayweather asema amestaafu ndondi bali si kutengeza dola kadhaa 2020-04-28
    Bondia Floyd Mayweather, amesema kuwa licha ya kutangaza kustaafu kupanda ulingoni kuzichapa, lakini anaweza kurejea tena ikimbidi kufanya hivyo.
    • SOKA: Wanyama ataka FKF ishauriane na FIFA kuhusu Amrouche 2020-04-27
    Nahodha wa timu ya taifa ya Kenya Harambee Stars na kiungo wa zamani wa Tottenham Hotspur, Victor Wanyama, amelisihi Shirikisho la Soka la Kenya (FKF) kufanya kila linaloweza kuhakikisha kwamba nchi hiyo inashiriki mechi zijazo za kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia za 2022 nchini Qatar.
    • KASHFA: Moise Kean awashtua mabosi wake kwa kufanya sherehe ya siri wakati huu wa Corona 2020-04-27
    Klabu ya Everton inayoshiriki Ligi Kuu nchini Uingereza imesema kuwa imestushwa na taarifa kuhusu mshambuliaji wao Moise Kean kuvunja sheria ya kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima wakati huu wa kupambana na maambukizi ya Virusi vya Corona.
    • SOKA: Adebayor apuuza wanaomshinikiza kutoa mabilioni kupigana na corona 2020-04-24
    Nahodha wa zamani wa timu ya taifa ya Togo, Emmanuel Adebayor, amepuuzilia mbali wanaotaka atoe sehemu ya mali yake ya Sh 4.8 bilioni kusaidia katika vita dhidi ya janga la corona nchini mwake.
    • SOKA: Lukaku awaomba radhi wachezaji wenzake kwa kauli yake kuhusu corona 2020-04-24
    • SOKA: Manara amsifu Fei Toto wa Yanga 2020-04-23
    Msemaji wa klabu ya Simba, Haji Manara amesema kuwa kiungo wa Yanga, Feisal Salum 'Fei Toto' ni mchezaji bora Mtanzania katika nafasi ya kiungo licha ya kuwa bado hajaonesha uwezo wake kwa asilimia 100.
    • SOKA: UEFA wakana kutakiwa kuahirisha mashindano kwa mwaka mmoja 2020-04-23
    • CORONA: Barcelona yapanga kuuza kwa muda haki ya jina la uwanja Nou Camp 2020-04-22
    • SOKA: Huenda Victor Wanyama akakatwa kiwango kikubwa cha mshahara wake 2020-04-20
    Huenda kiwango kikubwa cha mshahara wa Victor Wanyama kikakatwa kufuatia ripoti kuwa chama cha wachezaji wa Major League Soccer (MLS) kinajadiliana na wachezaji kuhusu suala hilo kutokana na janga la virusi vya corona.
    • SOKA: Thamani ya Kylian mbappe yaporomoka kwa kasi 2020-04-20
    • SOKA: Lineker, Neville waipongeza Manchester United 2020-04-17
    Uongozi wa klabu ya Manchester United umepongezwa kwa kuchukua hatua ya kuzipunguza mwanga baadhi ya herufi za maandishi kwenye neno Manchester lililoandikwa uwanja wa Old Trafford na kubakia herufi HNS UNITED
    • KASHFA: Dickson Etuhu afungiwa miaka mitano kwa kupanga matokeo 2020-04-17
    Mchezaji wa zamani wa Man City Dickson Etuhu, 37, amefungiwa miaka mitano kujihusisha na soka kutokana na kubainika kuwa alihusika kupanga matokeo ya mechi Mei 2017.
    • SOKA: Pogba awasifu Scholes, Pirlo 2020-04-16
    Paul Pogba amewazungumzia wachezaji nyota Paul Scholes na Andrea Pirlo kuwa ni wachezaji wa aina yake.
    • CORONA: Tottenham Hotspurs yabadili sehemu ya uwanja wake na kuwa kituo cha kupima corona 2020-04-16
    Klabu ya Tottenham Hotspurs jana ilionesha ilivyobadili sehemu ya uwanja wake na kuwa sehemu ya kutolea huduma kwa watu kupima maambukizi ya virusi vya corona.
    • RIADHA: Nyota mwingine wa Marathoin wa Kenya afungiwa kwa kukiuka matumizi ya dawa za kusisimua misuli 2020-04-15
    Bingwa wa Kenya wa mbio za Marathon ya London za mwaka 2017 Daniel Wanjiru amefungiwa kushiriki riadha kwa kutumia dawa za kusisimua misuli.
    • Sasa ni rasmi pambano la Fury na Wilder 2020-04-14
    Promota wa Fury, Frank Warren amesema bondia Tyson Fury ambaye anashikilia taji la WBC la uzani wa juu ambalo Mwingireza Anthony Joshua hana amepangiwa kuzidunda na Deontay Wilder wa Marekani kwa mara ya tatu mnamo Oktoba 2020.
    prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 next
    SearchYYMMDD  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako