• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • CRICKET: TImu ya cricket ya West Indies yakubali kimsingi kufanya ziara Uingereza 2020-06-01
    Timu ya Cricket ya West Indies imekubali kimsingi kufanya ziara nchini Uingereza baada ya kufanya mkutano kwa njia ya video wiki iliyopita.
    • SOKA: Ligi ya Mabingwa Ulaya na Europa League kupigwa kivingine kisa corona 2020-06-01
    • SOKA: Kipenga cha kuashiria kurejelewa kwa Serie A kupulizwa rasmi Juni 20 2020-05-29
    Waziri wa Michezo nchini Italia, Vincenzo Spadafora ametangaza kuwa, kivumbi cha Ligi Kuu ya Italia (Serie A) kitaanza tena Juni 20, 2020. Ligi hiyo iliahirishwa Machi 9, 2020, zikiwa zimesalia raundi 12 za mechi za kusakatwa kabla ya msimu huu kumalizika rasmi.
    • SOKA: Shanghai Shenhua yatia guu Ighalo kuendelea kuichezea Manchester United 2020-05-29
    • RIADHA: Mwanariadha mkongwe Keino afurahia Mkutano wa Nairobi kuitwa jina lake 2020-05-28
    Mwanariadha mkongwe nchini Kenya Kipchoge Keino amesema ni heshima kubwa kwake kwa waandaaji wa Mkutano wa Nairobi kuita shindano la ufunguzi la Mashindano ya Riadha Duniani kwa jina lake.
    • SOKA: Mario Balotelli kutemwa na Brescia ya Italia 2020-05-28
    • SOKA: Kocha wa Yanga awapa ushauri TFF 2020-05-27
    Kocha Mkuu wa timu ya Yanga nchini Tanzania Luc Eymael, amefunguka kwamba licha ya Serikali kuruhusu michezo lakini Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) wanatakiwa kutoa muda kwa ajili ya timu kupata nafasi ya kufanya mazoezi ya pamoja.
    • SOKA: Kisirani kimeingia kwenye dili la Mohamed Bin Salman kuinunua Newcastle United 2020-05-27
    • SOKA: Mchezaji wa Cameroon aaga dunia kutokana na mshtuko wa moyo 2020-05-26
    Ulimwengu wa soka bara Afrika unaomboleza kifo cha ghafla cha mchezaji soka wa Cameroon mwenye miaka 21, Joseph Bouasse ambaye aliaga dunia kutokana na mshtuko wa moyo.
    • SOKA: Soka ya Zlatan Ibrahimovic yaweza kufikia tamati baada ya kuumia mguu mazoezini 2020-05-26
    • SOKA: Chelsea wapanga kuachana na N'Golo Kante 2020-05-25
    Uondozi wa timu ya Chelsea, umedai upo tayari kumruhusu kiungo wao N'Golo Kante kuikosa michezo yote iliyobaki ya msimu huu wa 2019-20 kama ataendelea kuwa na hofu ya kuenea kwa virusi vya corona.
    • SOKA: Hali yazidi kuwa tete kwenye klabu ya Barcelona 2020-05-25
    • SOKA: Coastal yasema Mwamnyeto hayuko sokoni 2020-05-22
    Timu ya Coastal Union nchini Tanzania imesisitiza kuwa Bakari Mwamnyeto bado ni mchezaji wao na ana mkataba wa mwaka mmoja kuichezea klabu hiyo.
    • KASHFA: Mwendwa awekwa kikaangoni kujibu kuhusu mamilioni AFCON 2019 2020-05-22
    • SOKA: Golikipa na nahodha wa Bayern Munich atia saini mkataba mpya wa miaka mitatu 2020-05-21
    Kipa Manuel Neuer wa Bayern Munich amerefusha mkataba wake na kikosi hicho cha Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga) kwa miaka mitatu zaidi hadi Juni 2023.
    • SOKA: FC Seoul ya Korea Kusini yapigwa faini kwa kutumia midoli ya ngono kama mashabiki 2020-05-21
    • SOKA: Nahodha wa Watford asema harejei kambini kabla Corona kuisha 2020-05-20
    Nahodha wa timu ya Watford, Troy Deeney, amesema hatarejea katika kambi yao uwanjani Vicarage Road kwa mazoezi yanayofanywa sasa na wanasoka wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kwa minajili ya kampeni zilizosalia msimu huu wa 2019-20.
    • SOKA: Kocha Mauricio Pochettino sasa yuko huru kujiunga na klabu yoyote anayotaka 2020-05-20

    Kocha Mauricio Pochettino sasa yuko huru kujiunga na klabu anayotaka bila vikwazo kutoka kwa waajiri wake wa zamani Tottenham Hotspur baada ya marufuku ya miezi sita yaliyomzuia kufanya hivyo kukamilika.

    • HOCKEY: Wachezaji wa mpira wa magongo watoa elimu ya afya ya akili 2020-05-19
    Wakati virusi vya Corona vikiendelea kuikumba dunia nzima, kundi la wanamichezo limeamua kutangazia tishio la watu walio hatarini katika jamii.
    • Hudson-Odoi anasa kwenye mtego hatari wa corona baada ya kumwalika mrembo 2020-05-19
    prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 next
    SearchYYMMDD  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako