![]() Sasa yametimia, wakati Simba ikiandaliwa mapokezi makubwa jijini Dar es Salaam wakiwa na kombe la ubingwa, Kagera Sugar na African Lyon zimeungana kuaga ligi kuu Tanzania bara na kushuka daraja kucheza ligi daraja la kwanza msimu uajo. |
![]() Dereva wa kampuni Ferrari, Sebastian Vettel ameionya timu yake kuwa wanayo kazi kubwa ya kufanya mbele yao baada ya kushuhudia kwa mara nyingine wakimaliza katika nafasi ya pili kwenye mbio za Monaco. |
![]()
Mbio za kuwania kiatu cha dhahabu Ulaya hatimaye zimekamilila na rasmi Lionel Messi ameweka rekodi ya kuwa mtu wa kwanza kutwaa tuzo hiyo mara ya tatu mfululizo. |
![]() Mzoefu ni mzoefu tu ndivyo unavyoweza kusema, timu ya Sevilla ya Uhispania imefanikiwa kutwaa kombe la SportPesa Challenge baada ya kuwafunga wenyeji wao Simba ya Dar es Salaam mabao 5-4 katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliopigwa usiku wa jana uwanja wa Taifa jijini Dar. |
![]() Mshambuliaji wa Paris Saint Germain, Kylian Mbappe anayetakiwa na Real Madrid akiwa ameshika tuzo yake ya Mchezaji bora wa mwaka wa ligi ya Ufaransa (Ligue 1) aliyoshinda pamoja na ya Mchezaji Bora Chipukizi baada ya kukabidhiwa jana mjini Paris, Ufaransa. |
![]() Ushindi wa mabao 2-0 walioupata Simba ya Dar es Salaam jana mbele ya Singida United kwenye uwanja wa Namfua umetosha kuwafanya wekundu hao wa Msimbazi kutetea kwa mara ya pili mfululizo ubingwa wao walioutwaa msimu uliopita. |
![]() Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, ambaye pia ni nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Mbwana Ally Samatta amekabidhiwa tuzo zake na kuvishwa medali ya ubingwa wa ligi daraja la kwanza A Ubelgiji maarufu kama Jupiter Pro League baada ya sare ya 0-0 na Standard Liege kwenye mchezo wa mwisho wa msimu uwanja wa Luminus. |
![]() Alfajiri ya kuamkia jana nchini Marekani kulikuwa na pambano la ngumi uzito wa juu la WBC kati ya mbabe Deontay Wilder na Dominic Brazeale, Pambano ambalo Wilder ameibuka kwa ushindi wa KO ndani ya sekunde 44 za raundi ya kwanza. |
![]() Wekundu wa msimbazi Simba ya Dar es Salaam, imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa jana uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. |
![]() Kocha mkuu wa mabingwa wa ligi kuu ya Uingereza Manchester City Pep Guardiola, ameshinda tuzo ya kocha bora wa msimu wa 2018/19 wa ligi hiyo. |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() Wakati Liverpool na Tottenham zimemaliza majukumu yao ya kufikia fainali za klabu bingwa Ulaya. Jana timu ya Chelsea ikiwa kwenye uwanja wake wa nyumbani Stamford Bridge imeikaribisha Entracht Frankfurt kwa mchezo wa marudiano ya nusu fainali ya ligi ya Ulaya, |
![]() Simba Sports Klabu wanajulikana zaidi kama Wekundu wa Msimbazi, jana wamefanya mauaji kwa Wagosi wa Kaya Coastal Union ya Tanga kwa kuwachakaza magoli 8-1. |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |