• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • TANZIA: Atletico Madrid yapoteza kinda wake timu ya vijana 2020-03-30
    • OLIMPIKI: Kusogezwa kwa Olimpiki ni pigo kuu – Eliud 2020-03-27
    Bingwa wa Olimpiki Eliud Kipchoge kutoka Kenya amesema kwamba, kuahirishwa kwa michezo hiyo iliyokuwa ifanyike jijini Tokyo, Japan kati ya Julai 24 na Agosti 9, 2020, kumeyumbisha ndoto za wanariadha wengi kitaaluma.
    • SOKA: Shanghai Shenhua yataka Odion Ighalo arejee China kwa dau la paundi 400,000 kwa wiki 2020-03-27
    Klabu ya Shanghai Shenhua ya hapa China imetoa ofa ya kumuongezea mkataba wa miaka miwili mshambuliaji wake Odion Ighalo (30) ambaye anacheza kwa mkopo Manchester United.
    • MASUMBWI: Pambano la tatu kati ya Tyson Fury na Deontay Wilder kufanyika Oktoba 2020-03-26
    Promota Frank Warren amesema bingwa wa dunia wa heavyweight Muingereza Tyson Fury anaweza kupigana na Mmarekani Deontay Wilder katika pambano lao la tatu mwezi Oktoba.
    • OLIMPIKI: IOC na Tokyo waahirisha michezo ya Olimpiki hadi mwakani 2020-03-25
    Kamati ya Olimpiki ya kimataifa (IOC) imethibitisha kuwa michezo ya Olimpiki Tokyo 2020 inaahirishwa hadi mwakani kwa sababu ya janga la ugonjwa wa corona uliotikisa dunia kwa sasa.
    • SOKA: PSG, Real Madrid na Manchester City zaingia vitabi kumng'oa Skriniar Inter Milan 2020-03-24
    Beki kisiki wa Inter Milan, Milan Skriniar amewaingiza vitani vigogo wa klabu za Paris Saint-German (PSG), Real Madrid na Machester City ambao wanapishana jijini Milan kusaka saini yake kwa ajili ya dirisha kubwa lijalo la usajili.
    • CORONA: Mshambuliaji wa Real Madrid Luka Jovic kuadhibiwa kwa kutoroka karantini 2020-03-24
    Baba mzazi wa mshambuliaji wa Real Madrid Luka Jovic ameonesha kutokuwa na tatizo endapo mtoto wake Jovic ataenda jela kwa kosa linalodaiwa kuwa la kizembe la kupuuzia agizo la kukaa karantini Hispania.
    • OLIMPIKI: Waziri Mkuu wa Japan asema kuna uwezekano wa kuahirisha michezo ya Olimpiki 2020-03-23
    Waziri Mkuu wa Japan Shinzo Abe ameliambia bunge la nchi hiyo kuwa Michezo ya Olimpiki ya Tokyo inaweza kuahirishwa kutokana na kuenea kwa virusi vya corona duniani.
    • CORONA: Rais wa zamani wa Real Madrid Lorenzo Sanz afariki dunia kwa corona 2020-03-23
    Rais wa zamani wa timu ya Real Madrid ya Hispania, Lorenzo Sanz amefariki dunia kwa virusi vya corona. Sanz mwenye umri wa miaka 76 alikuwa Rais wa Madrid kwa miaka mitano (1995 - 2000) alifariki Ijumaa wakati akipatiwa matibabu ya virusi vya Corona.
    • SOKA: Arsenal yaishtukia Barcelona kwa Aubameyang 2020-03-20
    Klabu ya Arsenal imegundua mchezo mchafu unaofanywa na Barcelona ambao wanatajwa kumshawishi mshambuliaji wao, Pierre-Emerick Aubameyang kujiunga na timu hiyo yenye maskani yake Camp Nou.
    • SOKA: Manchester United yainyemelea saini ya Samuel Umtiti 2020-03-20
    • SOKA: Chelsea kusaidia wahudumu wa afya wanaopambana na virusi vya korona 2020-03-19
    Mmiliki wa klabu ya Chelsea Roman Abramovich amesema Millenium Hotel iliyoko Stamford Bridge itawapokea na kuwapa malazi maafisa wa afya wa serikali wanaopambana na virusi vya korona.
    • SOKA: Lionel Messi avurugana tena na uongozi wa klabu yake Barcelona 2020-03-19
    • SOKA: Sadio Mane atoa msaada wa KSh 5 milioni kwa taifa lake kukabiliana na coronavirus 2020-03-18
    Sadio Mane ameendelea kuwa mwaminifu kwa taifa lake Senegal licha ya kujipatia utajiri wake barani Ulaya.
    • GOFU: Mashindano ya Diplomatic Golf kuunguruma Mei 30, 2020 2020-03-18
    • SOKA: Kocha mahiri wa Uhispania, Francisco Garcia aaga dunia kutokana na coronavirus 2020-03-17
    Ulimwengu wa soka unaomboleza kifo cha kocha wa Uhispania Francisco Garcia ambaye alifariki dunia baada ya kupatwa na virusi vya corona.
    • SOKA: Cristiano Ronaldo kupewa mkataba wa miaka minne Juventus 2020-03-17
    • OLIMPIKI: Olimpiki kuendelea kama kawaida 2020-03-16
    Waziri Mkuu wa Japan Shinzo Abe amesema michezo ya Olimpiki ya Tokyo itafanyika Julai kama ilivyopangwa, licha ya mlipuko wa virusi vya korona ambavyo vimesababisha mashindano mengi ya michezo kuahirishwa sehemu mbalimbali duniani
    • SOKA: Wachezaji wa Gremio waingia uwanjani wakivaa mask wakipinga mechi dhidi ya Sao Luiz 2020-03-16
    • SOKA: Aussems ataja kitakachoipoteza Simba SC 2020-03-13
    Kocha wa zamani wa timu ya Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems amefunguka licha ya timu hiyo kuendelea kufanya vizuri katika mechi za Ligi Kuu Bara lakini haoni nafasi yao ya kuweza kuvunja rekodi ya kufika Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa msimu ujao.
    prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10
    SearchYYMMDD  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako