• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • SOKA: Kibarua cha kocha Nigel Pearson Watford chaota mbawa 2020-07-20
    Watford wamemtimua kocha Nigel Pearson zikiwa zimesalia mechi mbili pekee kabla ya kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu kutamatika rasmi.
    • SOKA: Ligi Kuu ya Kenya KPL kubadili jina baada ya kupata ufadhili mpya 2020-07-17
    Ligi Kuu ya Kenya imepata nguvu mpya baada ya kampuni ya Bahati Nasibu ya Nigeria Bet King, kukubali kuifadhili Ligi hiyo kuanzia msimu ujao. Hatua hiyo imekuja baada ya Shirikisho la Soka la Kenya (FKF) kufikia makubaliano na kampuni hiyo hapo jana.
    • SOKA: Harry Kane apitisha idadi ya mabao 200 akicheza soka katika kiwango cha klabu 2020-07-16
    Mshambuliaji Harry Kane alifikisha zaidi ya mabao 200 katika taaluma yake ya soka kwenye ngazi ya klabu baada ya kutikisa wavu mara moja na kusaidia Tottenham Hotspur kuwapepeta Newcastle United 3-1 katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) hapo jana.
    • RIADHA: Mwanariadha Alex Korio apigwa marufuku na IAAF 2020-07-15
    Kitengo cha Maadili (AIU) cha Shirikisho la Riadha Duniani (IAAF) kimempiga marufuku mtimkaji Alex Korio Oloitiptip kushiriki mashindano kwa miaka miwili kwa kukiuka kanuni zinazodhibiti matumizi ya pufya.
    • SOKA: Manchester City waponea adhabu baada ya CAS kubatilisha maamuzi ya UEFA 2020-07-14
    Imekuwa afueni kubwa kwa Manchester City baada ya Mahakama ya Kimataifa ya Migogoro katika Michezo (CAS) kubatilisha maamuzi ya awali ya UEFA ambao wamewapiga miamba hao wa soka Uingereza marufuku ya kushiriki kipute cha Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) kwa kipindi cha misimu miwili.
    • CHESS: Kocha wa Chess avutiwa na shindano la vijana wadogo la Afrika 2020-07-13
    Kocha wa mchezo wa Chess nchini Tanzania, Kara Louis ameelezea mashindano ya mchezo huo yaliyofanyika kwa njia ya mtandao yajulikanayo kama African Juniors 11 Team Battle yaliyohusisha nchi sita, kuwa ni mashindano mazuri yatakayowatangaza wachezaji wadogo.
    • Mchezaji Morrison awataka mashabiki waende uwanja wa taifa jumapili 2020-07-10

    BAADA ya kuifungia timu yake bao pekee kwenye ushindi walioupata dhidi ya Kagera Sugar juzi, kiungo mwenye 'mbwembwe' wa klabu ya Yanga, Bernard Morrison amesema hizo ni salamu kwa wapinzani wao

    • 'TUNAWAJUA SIMBA, TUTAWAMALIZA' – Nahodha wa Yanga 2020-07-06
    Wakati mechi ya michezo ya hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Federation (FA) inakaribia nahodha wa Yanga, Juma Abdul, amewatoa hofu mashabiki wa Yanga na kuwataka kuwa na furaha kwenye kipindi hiki ambacho wanafanya maandalizi makubwa kuelekea kwenye mchezo dhidi ya watani wao wa jadi Simba.
    • SOKA: Nembo ya namba tatu iliyopo katika jezi mpya za Chelsea inaonekana kuwa nuksi 2020-07-03
    Nembo ya namba tatu iliyopo katika jezi mpya za Chelsea, zinaweza kutafsiriwa kama ni mkosi baada ya timu hiyo kuchapwa mabao 3-2 na West Ham ikizitumia kwa mara ya kwanza juzi.
    • UHAMISHO: Leroy Sane kuibukia Bayern Munich msimu ujao 2020-07-02
    Kiungo wa Manchester City Leroy Sane, inaelezwa kuwa amemaliza utaratibu wote na Klabu ya Bayern Munich ili aitumikie timu hiyo msimu ujao.
    • SOKA: Lionel Messi afikisha mabao 700, Barcelona wagawana pointi na Atletico Madrid 2020-07-01
    Nyota wa ndani ya Klabu ya Barcelona Lionel Messi, usiku wa kuamika leo alifunga bao moja kwenye sare ya kufungana mabao 2-2 na Atletico Madrid Uwanja wa Nou Camp kwenye La Liga na kufikisha jumla ya mabao 700.
    • SOKA: Kibarua cha kocha Albert Celades wa Valencia chaota mbawa 2020-06-30
    Klabu ya Valencia ya Hispania imeamua kumfuta kazi kocha wao Albert Celades , 44, baada ya kuwa na mfululizo wa matokeo mabovu.
    • SOKA: Ni rasmi Liverpool ndio mabingwa wa EPL 2020-06-26
    Liverpool walinyakua ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kwa mara ya kwanza baada ya miaka 30 jana Juni 25 kufuatia ushindi wa 2-1 uliosajiliwa na Chelsea dhidi ya mabingwa watetezi Manchester City.
    • SOKA: Harry Kane alenga kufikia rekodi za Shearer na Rooney kwa magoli katika EPL 2020-06-25
    Mshambuliaji matata wa Tottenham Hotspur, Harry Kane amesema kwamba analenga kuwa mchezaji wa tatu baada ya Alan Shearer na Wayne Rooney kufunga jumla ya mabao 200 katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL).
    • HOCKEY: Kombe la Nyerere kufanyika Oktoba 2020-06-24
    Chama cha Mchezo wa Magongo Tanzania (THA) kimetangaza kuwa mashindano ya Kombe la Nyerere yatafanyika Oktoba mwaka huu mjini Moshi, Kilimanjaro.
    • MIELEKA: Nguli wa WWE, The Undertaker astaafu baada ya karne tatu ulingoni 2020-06-23
    Nyota wa mchezo wa mieleka WWE, Mark Calaway maarufu kama The Undertaker ametangaza kustaafu kwake baada ya kudai kuwa hana lengo lingine la kutimiza katika mchezo huo.
    • SOKA: Liverpool kufanya usajili wa kibabe 2020-06-22
    Klabu ya Liverpool imepanga kumsajili nyota wa Paris Saint-Germain Kylian Mbappe kwa kubadilishana na mchezaji wao, Sadio Mane na kitita cha paundi milioni 200.
    • SOKA: Gor Mahia na AFC Leopards wapata mfadhili mpya 2020-06-19
    Mabingwa wa Ligi Kuu ya Kenya, Gor Mahia na AFC Leopards wameingia katika mkataba mpya na kampuni ya mchezo wa bahati nasibu Bet High Kenya, chini ya chapa yao ya BetSafe.
    • KASHFA: Sepp Blatter aingia kwenye kashfa nzito ya fedha za FIFA) 2020-06-19
    Rais wa zamani wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Sepp Blatter anachunguzwa kwa matumizi mabaya ya mkopo wa Dola milioni moja ambao FIFA unadaiwa kulipatia Shirikisho la Soka la Trinidad & Tobago 2010.
    • SOKA: Gunners walimwa 3-0 ugenini 2020-06-18
    Matumaini ya Arsenal ya kumaliza miongoni mwa vilabu nne bora ilipata pigo kufuatia ushinde wa 3-0 kwa Man City ugani Etihad.
    prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 next
    SearchYYMMDD  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako