• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • SOKA: Alvaro Morata ajiunga na klabu ya Juventus 2020-09-23
    Mshambuliaji wa Atletico Madrid ya Hispania Alvaro Morata, 27, amejiunga na klabu ya Juventus ya Italia kwa mkopo wa muda mrefu. Morata aliwahi kucheza Juventus (2014-2016) na baadaye kujiunga na Real Madrid ya kwao Hispania
    • SOKA: Suarez kujiunga na Atletico Madrid 2020-09-22
    Baada ya kocha wa Juventus ya Italia Andrea Pirlo kunukuliwa akisema kuwa Luis Suarez ni ngumu kuwa mshambuliaji wao sababu ya ishu za uraia wa Italia kuwa ni mchakato mrefu. Sasa
    • SOKA: Liverpool yang'ara mbele ya Chelsea, Sadio Mane awa shujaa wa mechi 2020-09-21
    Liverpool wakiwa Stamford Bridge ambapo ndio nyumbani kwa Chelsea, wamefanikiwa kupata ushindi wa magoli 2-0, magoli hayo yakiwekwa wavuni na Sadio Mane dakika ya 50 na 54.
    • SOKA: Messi awaongoza wanasoka wanaoingiza fedha nene 2020-09-17
    Nahodha na mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi anaongoza kwenye orodha ya wanasoka wanapata fedha kubwa duniani, kwa mujibu wa Jarida la Forbes.
    • MBIO ZA MAGARI: Barabara za Kenya zahitaji ujasiri, wasema madereva wa kimataifa 2020-09-16
    Madereva wa kimataifa wanasubiri kwa hamu kubwa kushiriki mbio za magari za Safari Rally zitakazorejea kwenye ratiba ya Shirikisho la Mbio za Magari Duniani (WRC) mwaka 2021.
    • RIADHA: Kiyeng ameshinda Chepkoech kwa mara ya kwanza 2020-09-15
    Mshindi wa nishani ya fedha katika Olimpiki za Rio 2016, Hyvin Kiyeng, alimpiku bingwa wa dunia, Beatrice Chepkoech kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka mitatu.
    • SOKA: Aliyekuwa mchezaji wa Chelsea Salomon Kalou apata shahada ya biashara 2020-09-14
    Mchezaji wa zamani wa Chelsea, Salomon Kalou yukokwenye maandalizi ya kuwa mjasiriamali baada ya kustaafu soka.
    • Abdillahie Yussuf wa Tanzania apelekwa tena Wales kwa mkopo 2020-09-11
    Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Abdillahie Yussuf amejiunga na Wrexham ya Wales inayocheza Ligi Daraja la Tano England, maarufu kama National League kwa mkopo wa hadi mwisho wa msimu kutoka Blackpool FC ya Daraja la Tatu.
    • Mabondia Twaha Kidudu na Dullah Mbabe kupanda ulingoni Desemba 26 2020-09-07
    Wanamasumbwi wa kulipwa nchini Tanzania Twaha Hassan 'Twaha Kidudu na Abdallah Pazi 'Dullah Mbabe' wanatarajia kupanda ulingoni Desemba 26 mwaka huu kuzichapa katika pambano la usiku wa mabingwa.
    • KIKAPU: Houston Rockets yaifunga Oklahoma City Thunder na kufuzu nusu fainali ya NBA 2020-09-04
    Timu ya Houston Rockets imefuzu kucheza nusu fainali ya ligi ya mpira wa kikapu nchini Marekani NBA kwa kuifunga Oklahoma City Thunder kwenye mchezo wa mtoano kwa ushindi wa jumla wa mechi 4-3.
    • CORONA: PSG yapata pigo watatu wana corona akiwemo Neymar 2020-09-03
    Klabu ya soka ya Ufaransa PSG imethibitisha kupitia Twitter kuwa wachezaji wake watatu wana ugonjwa wa Covid-19.
    • TENISI: Andy Murray aingia kwa kishindo Michuano ya Wazi ya Marekani 2020-09-02
    Muingereza Andy Murray alicheza mechi yake ya kwanza ya Grand Slam tangu mwaka 2019 na kushinda dhidi ya Mjapan Yoshihito Nishioka katika mchezo wake wa raundi ya kwanza ya michuano ya wazi ya Marekani.
    • SOKA: Manchester United ipo mbioni kuinasa saini ya beki wa Klabu ya RB Leipzig Dayot Upamecano 2020-09-01
    Imeelezwa kuwa Manchester United ipo kwenye mpango wa kuinasa saini ya beki wa Klabu ya RB Leipzig, Dayot Upamecano kwa ajili ya kuongeza nguvu msimu ujao wa 2020/21.
    • SOKA: Mashabiki wana usongo wa kujua kama leo Messi ataungana na Barcelona kujifua kwa ajili ya msimu ujao wa 2020-21 2020-08-31
    Macho yote ya mashabiki leo yanaelekezwa uwanjani Camp Nou, Uhispania kujua iwapo nyota Lionel Messi atakuwa sehemu ya wanasoka wa Barcelona watakaorejea kambini kujifua kwa minajili ya msimu ujao wa 2020-21.
    • TENNIS: Osaka asusia mashindano ya Tennis kufuatia kupigwa risasi kwa Mmarekani mwenye asili ya Afrika 2020-08-28
    Mcheza tennis raia wa Japan ambaye pia ni mshindi mara mbili wa mashindano ya Grand Slam Naomi Osaka, amejitoa kwenye robo fainali ya mashindano ya wazi ya tennis duniani yanayofanyika New York, Marekani, ikiwa ni kupinga kitendo cha polisi kumpiga risasi Mmarekani mweusi Jacob Blake ambaye hakuwa na silaha huko Wisconsin
    • SOKA: Rais wa Barcelona akataa kujiuzulu kisa Messi kuondoka 2020-08-27
    Rais wa klabu ya Barcelona Josep Maria Bartomeu amepinga mtizamo wa mashabiki wa timu hiyo wanaomtaka ajiuzulu endapo Lionel Messi ataondoka.
    • BASKETBALL: NBA yamkumbuka Kobe Bryant 2020-08-26
    LeBron James alifunga alama 30 akiiongoza Los Angeles Lakers, na kuibuka na ushindi wa alama 135-115 dhidi ya Portland Trail Blazers katika mchezo wa mtoano ligi ya mpira wa kikapu nchini Marekani.
    • SOKA: Sarpong: Nimefurahi kuwa mwanafamilia Young Africans 2020-08-25
    Mashabiki wa klabu ya Young Africans wanaamini usajili wa Mshambuliaji kutoka Ghana Michael Sarpong, huenda ukawa jibu sahihi la maswali waliyokua wanajiuliza, nani atakua mbadala wa David Molinga aliyeondoka klabuni hapo siku kadhaa zilizopita.
    • SOKA: Bayern yaibuka mabingwa wa UEFA kwa mara ya 6 2020-08-24
    Bao la ufundi kupitia kichwa kutoka kwa Kingsley Coman katika kipindi cha pili uwanjani Estadio do Sport Lisboa liliiwezesha Bayern Munich kuifunga Paris Saint-Germain na kushinda taji la Ligi ya Mabingwa kwa mara ya sita.
    • Lionel Messi aendelea kuwaweka njia panda Barcelona, asema anaondoka 2020-08-21
    Nyota wa Klabu ya Barcelona, Lionel Messi amemwambia kocha wake mpya Ronald Koeman kwamba hana matumaini ya kuendelea kubaki ndani ya klabu hiyo.
    prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 next
    SearchYYMMDD  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako